Rio aporwa bwana na rafiki yake

Kumekucha kumbe hata hawa wanaibiana mabwana.

Wanawake mnakazi.
Wanaibiana hao tena hawafai kabisa. Wenyewe wanakwambia kabisa kuwa akiwa na PDG lake huwaga hawatambulishani kwn mashoga wanaasili ya wivu balaa, bwana mmoja anaweza tembea nao wote kwenye group lao
 
daaah!!![emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
Hahaha bina Mungu akikupa kidume unashukuru tu. Unamlea kwa maadili, unamuombea, mengine unamuachia tu Mungu,
mtihani mamito maana hao wengine kwao ni wamelelewa kimaadili sana tu

Sasa sijui wazazi walikosea wapi au watoto wenyewe yaani daahh!!
 
mtihani mamito maana hao wengine kwao ni wamelelewa kimaadili sana tu

Sasa sijui wazazi walikosea wapi au watoto wenyewe yaani daahh!!
Mipango tu ya Mungu. Mzazi anamlea vizuri, baadaye mtoto akikua anachagua tu njia yake mwenyewe
 
kwa hiyo saivi mnataka watu gani? watu wasiende gym?
 
ukiangalia Peter Paul(Rio)kwao wana uwezo tu na amesema shule nzuri tu Mzizima km sikosei,what happened mpk anakua hvyoo...?
Binamu namuonea huruma mwanamke mwenzangu jamanii!
Makuzi maybe kama wanavyosema kuzaliwa na homony za kike
 
Ulaaniwe kiukwelii sifichii yaani umekubali kuwa hivyo ni kuulize rio Mungu alipokuumba mwanaume ulidhani alikosea wewe huku duniani ndio utakula raha sana ila ujue mwisho wa kila kitu jiulize utamjibu Mungu nini?sio yeye peke yake wote walioamua kuwa hiviii hayaa umbwe mwanaume uwe hivi maana hata jina hamna maana ushoga na mashoga sio nimaana tofauti kitoa u ni shoga means shostito wa mtu mashoga ni wingi wa rafiki za kikee wa mtu fulanii upo ushoga mmejiwekea tu wenyewe . Mnauziii sanaa nahisigi kutapika kwanini msifungwage tuu iwekwe sheria? Kama uganda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…