PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Hapana siwajui wake zao ila Sheria Ngowi huwa anaukaribu sana na binti wa Mzee Makamba huenda ndio mtu wake!Hao ambao hawana scandal unawajua wake zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siwajui wake zao ila Sheria Ngowi huwa anaukaribu sana na binti wa Mzee Makamba huenda ndio mtu wake!Hao ambao hawana scandal unawajua wake zao?
[emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Mdomoo komaaaaa jela sio shule Daudi wangu
Wanaibiana hao tena hawafai kabisa. Wenyewe wanakwambia kabisa kuwa akiwa na PDG lake huwaga hawatambulishani kwn mashoga wanaasili ya wivu balaa, bwana mmoja anaweza tembea nao wote kwenye group laoKumekucha kumbe hata hawa wanaibiana mabwana.
Wanawake mnakazi.
neno hilooo!!Hao ambao hawana scandal unawajua wake zao?
sheria ngowi na mustafa hassanali labda!!martin tunamshuku tena sana tu..
martin, wema anavaa mbele take na wala hashtuki...
demu wa martin hatumjui?
pozi zake ?? mfatilie
labda huyo sheria ngowi.!!.
afu rio ndo mwanamitindo ambae international kwa sasa...
Hahaha bina Mungu akikupa kidume unashukuru tu. Unamlea kwa maadili, unamuombea, mengine unamuachia tu Mungu,[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
binamu sina hamu kabisa na mtoto wa kiume kila nikiwaza hili suala
daaah!!![emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]kuna machoko, mashoga na wadhalilishaji!!
machoko ndo kina kaoge, wakina mtoto wa mama..
mashoga/gays ndo hawa kina rio ni watu wako smart ila wana muonekano wa kutia shaka.. ila hawajadhihirisha
na huwakuti wanaranda hovyo hovyo...
wanakua na shuguli muhimu, hawajichetui hovyo..
lakini watu wanajua ni gays (wakina davito)
afu kuna wadhalikishaji hawa sasa ni wanaume kabisa wana midevu ,wameenda gym wana miili ya uwanaume
lakini wanakazwa( hawa ndo wananichefua kuliko wote) na ndio wanasababisha saivi njemba tuziogope.
makubwa haya. wanaume wanaisha wanawake wana ongezeka.
dunia hii sijui inaelekea wapi. Mungu tulindie vizazi vyetu 🙁
mtihani mamito maana hao wengine kwao ni wamelelewa kimaadili sana tuHahaha bina Mungu akikupa kidume unashukuru tu. Unamlea kwa maadili, unamuombea, mengine unamuachia tu Mungu,
Acha tuuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
binamu sina hamu kabisa na mtoto wa kiume kila nikiwaza hili suala
Mipango tu ya Mungu. Mzazi anamlea vizuri, baadaye mtoto akikua anachagua tu njia yake mwenyewemtihani mamito maana hao wengine kwao ni wamelelewa kimaadili sana tu
Sasa sijui wazazi walikosea wapi au watoto wenyewe yaani daahh!!
Walishaachana akaja kumuoa mdada mmoja wa mjini anaitwa siahHapana siwajui wake zao ila Sheria Ngowi huwa anaukaribu sana na binti wa Mzee Makamba huenda ndio mtu wake!
kwa hiyo saivi mnataka watu gani? watu wasiende gym?kuna machoko, mashoga na wadhalilishaji!!
machoko ndo kina kaoge, wakina mtoto wa mama..
mashoga/gays ndo hawa kina rio ni watu wako smart ila wana muonekano wa kutia shaka.. ila hawajadhihirisha
na huwakuti wanaranda hovyo hovyo...
wanakua na shuguli muhimu, hawajichetui hovyo..
lakini watu wanajua ni gays (wakina davito)
afu kuna wadhalikishaji hawa sasa ni wanaume kabisa wana midevu ,wameenda gym wana miili ya uwanaume
lakini wanakazwa( hawa ndo wananichefua kuliko wote) na ndio wanasababisha saivi njemba tuziogope.
nakumbuka nilisoma kuwa kamu-engage Nsia Swai, sijui wanaendeleajeHapana siwajui wake zao ila Sheria Ngowi huwa anaukaribu sana na binti wa Mzee Makamba huenda ndio mtu wake!
ukiangalia Peter Paul(Rio)kwao wana uwezo tu na amesema shule nzuri tu Mzizima km sikosei,what happened mpk anakua hvyoo...?Mipango tu ya Mungu. Mzazi anamlea vizuri, baadaye mtoto akikua anachagua tu njia yake mwenyewe
Acha tuuu
Bina, mambo mengine unaweza kukufuru kama mzazi ujue, inaumiza sana. Mungu huyu.ukiangalia Peter Paul(Rio)kwao wana uwezo tu na amesema shule nzuri tu Mzizima km sikosei,what happened mpk anakua hvyoo...?
Binamu namuonea huruma mwanamke mwenzangu jamanii!
Alimuoa my dianakumbuka nilisoma kuwa kamu-engage Nsia Swai, sijui wanaendeleaje
Makuzi maybe kama wanavyosema kuzaliwa na homony za kikeukiangalia Peter Paul(Rio)kwao wana uwezo tu na amesema shule nzuri tu Mzizima km sikosei,what happened mpk anakua hvyoo...?
Binamu namuonea huruma mwanamke mwenzangu jamanii!