Ooh hongera zao basi, sikuona hata kapicha ka harusiAlimuoa my dia
Atakuwa DarrrrHuyo nsia Swai yupo wapii??ni mkalii
Tena sijui nilisoma sijui kwa mange sijui wapi kuhusu kumuoa nsiaOoh hongera zao basi, sikuona hata kapicha ka harusi
YELEUWIIIIIIIIIkuna machoko, mashoga na wadhalilishaji!!
machoko ndo kina kaoge, wakina mtoto wa mama..
mashoga/gays ndo hawa kina rio ni watu wako smart ila wana muonekano wa kutia shaka.. ila hawajadhihirisha
na huwakuti wanaranda hovyo hovyo...
wanakua na shuguli muhimu, hawajichetui hovyo..
lakini watu wanajua ni gays (wakina davito)
afu kuna wadhalikishaji hawa sasa ni wanaume kabisa wana midevu ,wameenda gym wana miili ya uwanaume
lakini wanakazwa( hawa ndo wananichefua kuliko wote) na ndio wanasababisha saivi njemba tuziogope.
Ndoa sina uhakika, ila kumlipia mahari na me niliisoma pia. Hata mama yao kina Sheria alivyofariki, Nsia alikuwa mstari wa mbele sana msibaniTena sijui nilisoma sijui kwa mange sijui wapi kuhusu kumuoa nsia
Oooh bas itakua hyo uchumba gan sasa mpk leo hawajaoana ndo hayo anakuja kuolewa mwngneNdoa sina uhakika, ila kumlipia mahari na me niliisoma pia. Hata mama yao kina Sheria alivyofariki, Nsia alikuwa mstari wa mbele sana msibani
[emoji134] [emoji134] [emoji134]YELEUWIIIIIIIII
Acha tu yani ndo hapo kama mwenzio amepewa mtihani huo,why not me?Bina, mambo mengine unaweza kukufuru kama mzazi ujue, inaumiza sana. Mungu huyu.
Napinga mieMakuzi maybe kama wanavyosema kuzaliwa na homony za kike
Kwahyo ni tamaa itakua auAcha tu yani ndo hapo kama mwenzio amepewa mtihani huo,why not me?
Napinga mie
Hahhaa hatujui mipango yao banaOooh bas itakua hyo uchumba gan sasa mpk leo hawajaoana ndo hayo anakuja kuolewa mwngne
Ujinga na kukosa hofu ya Mungu!!Kwahyo ni tamaa itakua au
Inauma uvisikie tu kwa mwingneUjinga na kukosa hofu ya Mungu!!
siwapendi hata kuwaonaInauma uvisikie tu kwa mwingne
PtuuuuuuuuuuuuuuuuuDina ngoja nikwambie hajaporwa ni hivi rio ndo alianza na uyo mzungu akapangishiwa masaki, badae uyo mzungu akawa anamtaka noel na kumwambia rio ikabdi rio amwambie mzungu sbbu ye na noel ni marafiki wakae wote kwenye nyumba uku wote ana wahudumia mzungu kukubali sasa sijui kama waligombana
Mdomoo komaaaaa jela sio shule Daudi wangu
anakata mauno kivipi yaani sijaelewaaAnakata mauno huyo rio balaa