Rio aporwa bwana na rafiki yake

Rio aporwa bwana na rafiki yake

kuna machoko, mashoga na wadhalilishaji!!
machoko ndo kina kaoge, wakina mtoto wa mama..
mashoga/gays ndo hawa kina rio ni watu wako smart ila wana muonekano wa kutia shaka.. ila hawajadhihirisha
na huwakuti wanaranda hovyo hovyo...
wanakua na shuguli muhimu, hawajichetui hovyo..
lakini watu wanajua ni gays (wakina davito)

afu kuna wadhalikishaji hawa sasa ni wanaume kabisa wana midevu ,wameenda gym wana miili ya uwanaume
lakini wanakazwa( hawa ndo wananichefua kuliko wote) na ndio wanasababisha saivi njemba tuziogope.
YELEUWIIIIIIIII
 
Tena sijui nilisoma sijui kwa mange sijui wapi kuhusu kumuoa nsia
Ndoa sina uhakika, ila kumlipia mahari na me niliisoma pia. Hata mama yao kina Sheria alivyofariki, Nsia alikuwa mstari wa mbele sana msibani
 
Hao si marafiki sasa imekuaje?Ama kweli rafiki anaweza kuwa adui
 
Dina ngoja nikwambie hajaporwa ni hivi rio ndo alianza na uyo mzungu akapangishiwa masaki, badae uyo mzungu akawa anamtaka noel na kumwambia rio ikabdi rio amwambie mzungu sbbu ye na noel ni marafiki wakae wote kwenye nyumba uku wote ana wahudumia mzungu kukubali sasa sijui kama waligombana
Ptuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom