Rio Olympics 2016: 31st Games set for opening ceremony

Baada ya km 10 mtz yupo nafasi ya 29 toka nafasi ya 12 walipofikia km 5.... anarudi nyuma kwa kasi...


Kama anakimbia kwenda nyuma. Yaani kilo mita 15 Tu hajulikani alipo. Ngoja tumpasapoti hivyo hivyo ndio wa kwetu. I hope japo atafika finishing line.
 
Huyu mdada Tufa wa Ethiopia naona ndio mbio zake zimekwisha sasa.... Hawa mapacha wa North Korea wanaweza kushangaza watu hatua za mwisho mwisho. ..
 
Mkuu kingine wanariadha wetu hawana exposure kubwa kwenye international tournaments ambazo husaidia sana kuongeza uzoefu na pia kuwa na mkakati wa namna ya kushiriki kwenye mbio kama hizi.

Dada yetu wa kitanzania naona ashachoka. Alikuwa kundi la mbele sasa hivi kaachwa mbali Sana. Disappointing Sana. Inabidi tuchukue vijana wakafanye mazoezi Kenya. Tuache ego haitusaidii kitu.
 
Kuna Hawa wadada 3 wa kimarekani wanakwenda sambamba na waafrika. Tusubiri last 5km tuone itakuwaje
 
The US is killing it on the medal front...

It has 60 thus far, 19 ahead of China which has 41.

And 24 of those 60 are gold medals. China only has 13 gold medals.

USA baby .
 
Usimsahau na huyo mbulgaria. ....


Ndio huyu kajitahidi Sana, lakini wenye marathon Yao washaanza kuwasha Moto naona wanampa bye bye pole pole. Na wale wamarekani washapotezwa vibaya vibaya
 
Wakenya wameuza wakimbiaji wao kwa waarabu wa bahrain ,hivyo wasitegeeme medali kwenye hii marathoni labda waethiopia.
 
Nimeitizama hadi nafasi ya 53, hakuna jina la mtz! Sio ajabu ameishia njiani...
 

Jemima Sumgong celebrates her victory in the women’s marathon
 
Kenya's Jemima Sumgong wins gold in the women's marathon!
Jemima Sumgong has pulled clear to win the women’s marathon for Kenya with a brilliant finish in 2:24.04. Kirwa takes silver, nine seconds back, and Mare Dibaba holds on for bronze.

Sumgong won the London marathon earlier this year but was just out of the medal places at last year’s word championships so this victory will be all the more sweet.


Jemima Sumgong of Kenya wins the women’s marathon.
 
n the men’s table tennis quarter-final between China and Great Britain, Liam Pitchford is currently 2-1 down in games and it’s 5-5 in the fourth. China have already won the gold and silver medals in the individual men’s and women’s tournament and many aficionados argue that the Olympics is far weaker than other tournaments but it restricts the number of Chinese competitors to just two. Good luck then Great Britain …

Liam Pitchford serves against Ma Long.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…