Rio Olympics 2016: 31st Games set for opening ceremony

Aisee mie nilidhani Gatlin anachukua Gold, alianza vizuri sana na alikuwa mbele ya Usain lakini jamaa akiamua kuongeza speed hakuna wa kushindana naye. It is sad that this will be his last Olympics.

Nilidhani Gatlin wakati anaongoza angeweza kuchomoka lakini wapi bana....hili li Jamaica si binadamu😀
 
Bolt goes to greet the crowd, giving out hugs and handshakes - pretty much makes 10 or 20 people’s lifetimes in the process. The first replays come through, Gatlin got a great start and it took Bolt until around 85m for the Jamaican to catch him. As we’ve seen so many times before in major finals, his rivals were tightening up and Bolt was flowing.


Usain Bolt blows a kiss to the crowd.
 
Usain Bolt wins the 100m final
The athletes are introduced, Gatlin booed and cheered (no one ignores him though). He just stares forward. Bolt gives us his easy smile, it’s good being Usain. Bolt crosses himself on the block. Concentrate Usain it’s the final! Gatlin gets a great start but Bolt surges back to win in 9.81! Gatlin wins silver, De Grasse, the 2020 Olympic champion, gets bronze.


Jamaica’s Usain Bolt crosses the finish line ahead of Justin Gatlin to win gold
 

Kirani James embraces an emotional Wayde van Niekerk
 
Gatlin alikuwa na wakati mgumu! Toka kwa watazamaji hadi kwa Bolt! Mbaya zaidi hata yule USA baby wa hapa jamvini leo kamgeuka. ... 😀😀😀!
 
Aisee mie nilidhani Gatlin anachukua Gold, alianza vizuri sana na alikuwa mbele ya Usain lakini jamaa akiamua kuongeza speed hakuna wa kushindana naye. It is sad that this will be his last Olympics.

Yaani Gatlin alianza vizuri kweli...nikasema leo ndo leo.

Hahahaaa kumbe jamaa [Bolt] alikuwa anavuta kasi tu.

Lakini Bolt huwa haanzagi kwa spidi kali.

Halfway thru ndo huwa anachochea kasi.
 
asante wadau wa jf kwa ku update muda wa hizi gemu mmesaidia kuona final.....hicho kiatu cha boltmatata sana full gold wadau au
 
Gatlin alikuwa na wakati mgumu! Toka kwa watazamaji hadi kwa Bolt! Mbaya zaidi hata yule USA baby wa hapa jamvini leo kamgeuka. ... 😀😀😀!

Lakini kachukua fedha [medali].

Hata hivyo mimi ni Team Bolt toka 2008.

Au ushasahau? Manake wewe ni mkongwe humu na nakuaminia sana.
 
Usain Bolt is an animal. Nadhani Gatlin kupata silver ni kama gold kwake. Gatlin hatakuja kupata gold kama huyu superman atakuwa bado yuko kwenye mashindano!.
 
Reactions: BAK
Fainali mita 3000 kuruka viunzi wanawake ipo hewani sasa. ...
 
Sasa wanariadha wa Kenya kuchukua uraia wa nchi za kiarabu maanake ni nini?
 
Sasa wanariadha wa Kenya kuchukua uraia wa nchi za kiarabu maanake ni nini?
Wamejaa sana huko Kenya. .. bora hata wangeamia Tz...

By the way, Ruth Jebet(BRN) amedai kuwa leo wakati anakimbia joto lilikuwa kubwa mno na hivyo kumnyima nafasi ya kuvunja rekodi
 
Sasa wanariadha wa Kenya kuchukua uraia wa nchi za kiarabu maanake ni nini?
Wanariadha wengi wanafanya hivyo kwa ajili ya hela. Uzalendo hauweki ugali mezani wansema. Kwa mfano wanariadha wa marathon wa kiume waliofuzu kuenda Rio toka Kenya walikuwa 44 lakini kila nchi ilipewa nafasi tatu za uwakilishi tu. Ina maana wanariadha 41 waridhike ilhali kuna nchi zinawatongoza kwa dola nyingi tu? Maisha hapa duniani ni mafupi sana kwa binadamu kukimbizana na serikali iweke mambo sawa. Kumbuka pia kuwa familia zao zinabaki nyuma na familia hizo zinapoafaidika tokana na ushindi wa jamaa zao, hawajali hela zitokako.
 
Alfajiri ya leo, Fainali mita 800 M, ikifuatiwa na Fainali mita 400 W
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…