BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
- Thread starter
- #281
Aisee mie nilidhani Gatlin anachukua Gold, alianza vizuri sana na alikuwa mbele ya Usain lakini jamaa akiamua kuongeza speed hakuna wa kushindana naye. It is sad that this will be his last Olympics.
Nilidhani Gatlin wakati anaongoza angeweza kuchomoka lakini wapi bana....hili li Jamaica si binadamu😀