Nikitazama uvunaji wa medali katika mashindano haya, hupenda kutazama kwa mfumo huu....
Hizo medali za EU ni pamoja na za Uingereza. ...(21)
- European Union wana gold 81
- United States wana 30
- China wana 19
- Russia wana 12
- Japan wana 10
- Australia wana 7
Kamanda ni mtazamo tu! Haaaa haaaaa haaaaa!Hahahaaaa...kwa hiyo EU wamepeleka timu moja ya EU, siyo?
Caribbean je?
Mbona AU sijaona ukiwaweka hapo?
Au ikija kwa Afrika unatizama nchi binafsi na si jumuia yote?
Sijawahi kuona mtizamo wa kiupendeleo kuliko huo aisee.
Kubali tu USA haina mpinzani..iwe kwenye dhahabu...fedha...wala shaba.
Na wameongeza ingine ya dhahabu...Ashton Eaton...kwenye decathlon.
Kamanda ni mtazamo tu! Haaaa haaaaa haaaaa!
AU Umoja wao sio sawa na wa EU ndiyo maana sijawafikilia. ..
Huyu Delilah zile ni nywele zake ama ni wig?USA bags another gold!
Delilah Muhammad.
The USA has 100 medals!
Huyu Delilah zile ni nywele zake ama ni wig?
She is very cute πππI am also very happy that relay team was allowed to compete again after their mishap this morning.
Nini kimemkuta Lashawn Merritt, sijamwona katika fainali hii ya mita 200.....πYes.
I'm badly rooting for Allyson Felix to get a gold medal.
Hopefully the US team will win tomorrow night.
I hope so too, Allyson IMO was robbed of her gold medal from that diving girl from Bahamas.
Usain Bolt kashinda tena metre 200 duh
Ni baada ya kutoka nje ya track mara baada ya kuruka kiunzi cha maji, team ya Ufaransa ndio iliyolalamikia kitendo cha Kemboi kukimbia nje ya track!Kenya alienyang'anywa medals alikua na kosa gani?