Rio Olympics 2016: 31st Games set for opening ceremony

Rio Olympics 2016: 31st Games set for opening ceremony

jamani huyu si ni mmsai? hawa wa huku kwetu wameamua kuwa wasusi....Watanzania tuna mambo sisi
Khe kheeee kheeee. ... labda amehusu umasai, ila sikumbuki kama kuna Mmasai mwenda mbio!
 
Elaine Thompson amefanikiwa kuingia kwenye fainali ya mita 200 W
 
Faith Kipyegon wa Kenya amemtoa kamasi Genzebe Dibaba na kushinda dhahabu katika mbio za mita 1500 wanawake. ......
 
Mbio za awali kwa mita 5000 M, kuwa hewani saa 10 na dk 05... Kumbuka yule bingwa wa Dunia ktk mita 10,000 Mo Farah atakuwepo!
 
Mita 800 W itakuwa ni saa 10 na dk 55 na yule mdada mtata Caster Semenya atakimbia saa 11 na dk 02
 
Majirani zetu wamechemka sana katika mbio hizi za mita 5000, kama kuingia fainali inategemea uwamuzi wa mezani. ...
 
Mdada mtata Semenya kashinda katika kundi lake kwa muda mzuri wa 1.59.31

Still to come, ni Fainali ya mita 3000 M kuruka viunzi hapo saa 11 na dk 55.
 
Watanzania tunatia simanzi kwa kweli, yaani hatuna hata washiriki humu. Wale wakimbiaji wanaofanya mazoezi uwanja wa Taifa kila siku wako wapi?
 
Rekodi mpya ya olimpiki kwa mbio za mita 3000 M kuruka viunzi imewekwa na Mkenya Kipruto, more details to follow. ...
 
Watanzania tunatia simanzi kwa kweli, yaani hatuna hata washiriki humu. Wale wakimbiaji wanaofanya mazoezi uwanja wa Taifa kila siku wako wapi?
Washiriki wapo, ila ni kwenye marathoni, kuogelea na judo. ... Jumapili usiwe mbali kuwaona kwenye marathoni...
 
Naona Nigeria wanapewa sapoti kubwa na raia wa Brazil ila daaah hawana bahat matokeo Germany 1 Nigeria 0
 
Naona Nigeria wanapewa sapoti kubwa na raia wa Brazil ila daaah hawana bahat matokeo Germany 1 Nigeria 0


Hivi umeangalia mechi gani, Mbona matokeo ya mechi ni tofauti? Germany imeshinda goli 2-0.
 
Back
Top Bottom