NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Vivian Cheruyiot bags Kenya's first medal in the 10000m race. More will come flowing.
....awarded after doping [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji85]We don't have plenty of gold, silver or bronze in the ground, but plenty around our necks.
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..We don't have plenty of gold, silver or bronze in the ground, but plenty around our necks.
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.
so tumeanza kudope tangu 1968 hahaha, mtz na uzembe angalau uende mji wa Iten uangalie mazoezi huko kuliko kuketi kitako ukiwashutumu watu wanaojitumaKama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.
Sio Mimi nasema haya, dunia imesemaso tumeanza kudope tangu 1968 hahaha, mtz na uzembe angalau uende mji wa Iten uangalie mazoezi huko kuliko kuketi kitako ukiwashutumu watu wanaojituma
Umetokwa povu kweli. , hayo siyo majungu, ni ukweli mkuu., au nmeandika uongo??Hehehe naomba sana kwa muda nipo humu duniani nisiwahi kuwa na hizi roho zenu za chuki nyie wala albino. Yaaani mnaishi maisha magumu sana, roho nyeusi zinazoiva kwa majungu, wivu na chuki kila uchao. Hayo ni maisha ya hatari sana maana unaowaonea wivu na chuki wanazidi kutanua, wanazidi kukuacha nyuma, wanazidi kunawiri, wanazidi kubarikiwa ilhali wewe unazidi kuumia huku umekaa kitako kwa uvivu na uzembe, umebarikiwa na kila aina ya raslimali, lakini kwa jinsi ulivyo na roho nyeusi ya chuki, unaishi kuwa maskini wa kutupwa miaka yote.
Umetokwa povu kweli. , hayo siyo majungu, ni ukweli mkuu., au nmeandika uongo??
Subira huvuta heri, jirani. Sitajisumbua na madai yako ya sijui doping. Umekaribishwa mji wa Iten nchini Kenya ujionee na sio usiambiwe. Ingekuwa bora ufungue uzi wenu wa kuhesabu zenu medali pindi zitakapoingia....awarded after doping [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji85]
Kwa desturi, bara afrika wanasubiria kupata medali, japo machache, toka kwetu. Nyangau will always win medals, the young ones are keenly following the footsteps of their seniors and they know they will make it someday. If you want to be happy at the sight of your countrymen winning medals, it's better to be a nyangau.Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.
sisi wenyewe ndo tuliwaregesha kenya ili washtakiwe na wasiharibie wanariadha ile spirit ya olympic.. wala hawakufukuzwa na mtu yoyote.hao mnafukuzwa tu huko rio
Hongera zenu. Further 3 athletes have qualified for 800 m men and 3 ladies have made it to the finals of 3000 steeplechase. Expecting fireworks hasa 800m finals. We are enjoying every moment kutoka home of champions Eldi.Paul Tanui, thanks for bringing us another medal. Our medal count comes to two now.
Paul Tanui, thanks for bringing us another medal. Our medal count comes to two now.
Hongera zenu. Further 3 athletes have qualified for 800 m men and 3 ladies have made it to the finals of 3000 steeplechase. Expecting fireworks hasa 800m finals. We are enjoying every moment kutoka home of champions Eldi.