MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Them Arabs are stealing Our Athletes..UHURU should do something about it
Hela wanazoitiwa kule aisei hawatazipata kwetu zaidi ya uzalendo tu, hii sidhani kama hata kuna haja ya kulifanyia kazi. Cha msingi ni kwamba wakienda hao, tunaibua wengine, inakua kama njia moja ya vijana kujitoa kwenye umaskini. Lakini wanalazimika kubadili hadi dini, hapo noma bana....