Rio Olympics: Kenya's medal Count

Rio Olympics: Kenya's medal Count

Them Arabs are stealing Our Athletes..UHURU should do something about it

Hela wanazoitiwa kule aisei hawatazipata kwetu zaidi ya uzalendo tu, hii sidhani kama hata kuna haja ya kulifanyia kazi. Cha msingi ni kwamba wakienda hao, tunaibua wengine, inakua kama njia moja ya vijana kujitoa kwenye umaskini. Lakini wanalazimika kubadili hadi dini, hapo noma bana....
 
Bolt anakimbia saa ngapi
Google wamenizuia kuwauliza maswali baada ya ku search "kwa nini magufuli anawachukia wapinzani wa tanzania na kuwakumbatia wapinzani wa kenya"

Hongeren kwa gold ya shingoni east africa hoyeeeeee

Hehehe!! Jamani nimecheka sana, hivi haujui mke wa jirani ni mtamu, sasa Magufuli akikumbatia upinzani wa Kenya na kuwabana wale Tanzania ina maana kwamba.....
 
Shukrani Mkuu inabidi iwe hivyo haina sababu ya kuchukiana, kuhitilafiana kwa wanadamu ni jambo la kawaida sana hata identical twins wanahitilafiana lakini si sababu ya kujenga chuki kianzi cha kujenga uhasama na kurushiana matusi mitandaoni na kwingineko. Hata mimi nimekutana na Wakenya ambao wanatia moyo sana kwa kuwa majirani wema Mkuu. By the way nilikuwa namshangilia Mkenya ashinde na siyo yule Mkenya aliyebadili uraia sasa amekuwa Mbahrain.

Asante tumepokea hizo hongera, kweli tukikosea una haki ya kutukosoa, tukiumia unatupa pole, tukifanya vyema jameni tupongeze. Asante sana jirani mwema, baadhi yenu huwa mnatia moyo sana.
 
Them Arabs are stealing Our Athletes..UHURU should do something about it
Sisemi napenda pesa lakini as long as zile pesa wanalipwa wanazituma Kenya ili kusaidia jamii, kidesign kuna vile its good for business.
 
Hongereni Majirani, mie ni Mtanzania ambaye sina chuki na Majirani zetu, lakini mkikosea nitawaambia, mkiwa na msiba wa Kitaifa nitawapa pole na mkifanya vizuri popote pale na kwenye fani yoyote ile ndani ya nchi yenu au nje ya nchi yenu nitawapongeza. Huo ndiyo ujirani mwema.
Wakenya, waethiopia, wameghra, Tanzania tunachakujifunza, aisee kila kitu tuko ka mkia tu. Mashindano hayo hutangaza pia nchi aisee. Hongereni Kenya, Ethiopia kwa Africa mashariki.
 
Sisemi napenda pesa lakini as long as zile pesa wanalipwa wanazituma Kenya ili kusaidia jamii, kidesign kuna vile its good for business.
Wale Wakenya wanaokuwa raia wa nchi za Mashariki ya Kati ni kwa karatasi tu..wote waishi Kenya na mazoezi yao wayafanyia ITEN..Hata pesa zao
 
Kwa kweli Kenya iko vizuri kwenye riadha. Pamoja na hayo Kenya iko mbele kwa maendeleo, nimejionea mwenyewe , hasa viwannda, barabara na mashamba
 
Hehehe!! Jamani nimecheka sana, hivi haujui mke wa jirani ni mtamu, sasa Magufuli akikumbatia upinzani wa Kenya na kuwabana wale Tanzania ina maana kwamba.....
Malizia maneno jirani, (kwa sauti ya "Mujuba")
 
Hehehe!! Jamani nimecheka sana, hivi haujui mke wa jirani ni mtamu, sasa Magufuli akikumbatia upinzani wa Kenya na kuwabana wale Tanzania ina maana kwamba.....
Malizia maneno jirani, (kwa sauti ya "Mujuba")
 
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.[/QUOTE

thinking like a loser! napenda unavyoandika kithungu kiovyo ovyo. rudu shuleni upate elimu ya lugha. hapa kwetu kitoto cha std 4 kitandika sahihi kukuliko. bureee kabisa!!
TanzaniaOlympic Medal Count
Population
53.5
MILLION
All-Time Medals Per Million
0.037
All-Time Medal Total
2
 
Hehehe naomba sana kwa muda nipo humu duniani nisiwahi kuwa na hizi roho zenu za chuki nyie wala albino. Yaaani mnaishi maisha magumu sana, roho nyeusi zinazoiva kwa majungu, wivu na chuki kila uchao. Hayo ni maisha ya hatari sana maana unaowaonea wivu na chuki wanazidi kutanua, wanazidi kukuacha nyuma, wanazidi kunawiri, wanazidi kubarikiwa ilhali wewe unazidi kuumia huku umekaa kitako kwa uvivu na uzembe, umebarikiwa na kila aina ya raslimali, lakini kwa jinsi ulivyo na roho nyeusi ya chuki, unaishi kuwa maskini wa kutupwa miaka yote.
Mkuu hata kiswahili chako kizuri ..kweli mmetusua ..me nawakubali tupeane michongo basi achana na figisufigisu za kisister du
 

Attachments

  • Sum.jpeg
    Sum.jpeg
    3.4 KB · Views: 48
  • Sum2.jpeg
    Sum2.jpeg
    4.2 KB · Views: 59
  • Sum3.jpeg
    Sum3.jpeg
    2.6 KB · Views: 55
  • Sum4.jpeg
    Sum4.jpeg
    4 KB · Views: 54
Kama kawaida yenu manyang'au, mmepeleka tabia zenu za hovyo huko Rio, but this time wamewastukia, aibu tupu..
Nyang'au will always be nyang'au, hata akizeeka kichwani busara na hekima ni sifuri (Big zero)
Hizo tabia huku huwa wanafanya watoto wa std 4, nashangaa Kenya wazee wanafanya..
You guys is a joke.

sasa unavyoongea hivyo kweli si wewe ndio nyangau,si lazima utusi watu ili ueleweke kaka
 
Hehehe, waltham,
Hiki kingereza kidogo chanitosha kabisa, naweza Fanya conversation na yoyote tukaelewana, unataka nijue kingi cha kazi gani?
najivunia kiswahili nakijua vizuri mno maana hii ndio lugha ninayotumia kwa zaidi ya 98% katika shughuli zangu za kila siku,

hii kingereza ilikuja na meli iliyokuja na mkoloni alipoamua kumtawala babu yangu akamwambia lugha yake ya kibantu ni mbaya hivyo ajifunze lugha nzuri (Kiingereza) ambacho wewe ndio umebaki na hangover ya ukoloni hadi Leo..
Nawapongeza wakenya kwa uthubutu, mmemshiriki michezo mingi japo medals zote zinakuja kwenye mchezo mmoja,
Riadha.. Kenyans + ethiopians + Jamaicans are good at that..(very Good) japo kwa michezo mingine bado sana.. tuendelee kujitahidi.,
ila pia nawapongeza watz, wameenda watu 7 tu lakini si haba, siku tukipeleka wengi kama Kenya tutarudi na Kikubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom