Naomba kwa yeyote mwenye taarifa anifahamishe juu ya taratibu za msiba huu kwa maana ya mazishi yali/yame/yatafanyika lini na wapi
Nimekuwa nikifuatilia taratibu za msiba huu kwa maana ya kujua atazikwa/amezikwa lini na wapi? Naomba kufahamishwa kwa aliyekaribu na msiba huu.