Biblia inatufundisha kuwa 'Tusichoke kutenda mema maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimia mioyo'. Ninaamini usipolipwa wema wako hapa duniani, utalipwa Mbinguni. Kuishi kwa Dr Masau na jitihada zake za kutamani kusaidia watu, nimejifunza mambo mengi. Waweza andika kitabu!