pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Acha unafiki wewe unaejifanya Mchambuzi maandazi!
Kwahiyo "climbing" hutumika kwenye milima tu?Huwezi tumia kwenye miti?Wewe ni bure kabisa!
Sentensi ina kosa gani kisarufi?Haina kosa hata chembe!
Kwahiyo kujua kingereza kama lugha halipo!
Kosa lililopo ni kuweka sentensi kwenye tukio ambalo sio lake.Hilo tu!
"Mchambuzi" my black behind!
Okay both are applicable with the sentence used. It could either be the noun pit (as you specified) or the uncountable noun pity (with its verb form pitying).Thanks!pit ni shimo btw
Mtoto wako atakuwa sifuri kama wewe.
yani kupachika mche ardhini ni climbing????
Kaa mbali na watoto wako usijekuwaambukiza zero brain yako.
Huna akili wewe "Mchambuzi" maandazi!
Nimekwambia application ya hiyo sentensi kwenye tukio hilo ndio imekosewa!
Ila sentensi kama sentensi grammatically ni correct 100%,context tu ndio imekosewa!
Huyu mtu anajua kiingereza,context ya application yake ndio kakosea.
Halafu uwe unajua kubishana na mtu..ni vituko mtu keshatoa jawabu ya kitu hicho hicho mahususi ila bado unang'ang'ania kitu hicho hicho mahususi wakati hoja ishajibiwa...Huu ni ukichaa,kubisha kitu kile kile kilichokwishajibiwa ukitegemea majibu tofauti,hii ni lunacy!
Narudia tena, kaa mbali na watoto wako usiwambuzi zero brain.
Maelezo yana mahusinao na hiyo picha, muandishi kaandika hapo akimaanisha hilo ndiyo tendo linalofanyika hapo kwenye picha.
Sasa jiulize, Je mtu huyo kwenye picha anakwea mti??
Jibu ni hapana.
Kaa mbali hata na watoto wa majirani usijekuwaambukiza zero brain uliyonayo.
kukwea mti
Kenyans wapo kwenye Utumwa mkubwa wa kifikiraHatari,lugha ya watu,tunaikosea sana,
Lakini sisi watu weusi,kwanini tunajisikia vibaya,tunapokosea lugha ya Mkoroni?
Da mzungu alituaribu akili vibaya sana!!
Uwezi kuona Mrusi,Mchina,Mjapani Mkorea akishobokea lugha ya kigeni,yaani atumie nguvu nyingi ili mradi tu asikosee lugha ya kigeni!!,hilo kwao halipo,ni Africa tu,tena Africa ya weusi
HahahahahahahaDirection:
....snake one by one then... (nyoka moja kwa moja kisha....!
Na wewe inabidi uwe unaandika kiingereza tu. Ngesack ndiyo lugha gani?Ningekua manager ngesack watu kama hao