RIP MWAMBA

RIP MWAMBA

ngulukizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
619
Reaction score
1,749
Leo ndugu zangu nitawapa mkasa uliotokea kwenye mapenzi katika kambi moja ya jeshi Mkoa WA pwani.Katika mahusiano ya jamaa mmoja ambaye alikuwa mjeshi jamaa tulizoea kila siku anapigiwa na mkewe sasa siku hiyo akakuta SMS za mapenzi Kwa mkewe ndio kisanga kikaanza hapo jamaa akaanzisha timbwili la kufa mtu baada ya kutembeza kichapo akaaifungia familia yake ndani na kuwambia Leo hakuna kutoka naenda kulewa nikirudi naendelea na nilipoishia kaenda zake huko kulewa kulewa kumbe bahati mbaya funguo aliyoondoka nayo akapoteza kurudi kugonga mlango na makelele juu anamwambia mkewe umeamua kujifungia ndani inamana unaigiza mwanaume kwangu kumbuka huyu Jamaa wanakaa ghorofa za juu kabisa hapo Kota mkewe akamkumbusha kuwa si umetufungia toka mchana na umeondoka na funguo basi mjeshi na pombe akawa haelewi si ndio mwana kuzunguka na kutaka kuruka ili adake kona apite dirishani Bana Ile kuruka akajikuta kapitiliza na pombe zake mpaka chini hapo hapo akafa Kwa kupasuka kichwa,tukumbuke hasira hasara

RIP MJESHI
 
Leo ndugu zangu nitawapa mkasa uliotokea kwenye mapenzi katika kambi moja ya jeshi Mkoa WA pwani.Katika mahusiano ya jamaa mmoja ambaye alikuwa mjeshi jamaa tulizoea kila siku anapigiwa na mkewe sasa siku hiyo akakuta SMS za mapenzi Kwa mkewe ndio kisanga kikaanza hapo jamaa akaanzisha timbwili la kufa mtu baada ya kutembeza kichapo akaaifungia familia yake ndani na kuwambia Leo hakuna kutoka naenda kulewa nikirudi naendelea na nilipoishia kaenda zake huko kulewa kulewa kumbe bahati mbaya funguo aliyoondoka nayo akapoteza kurudi kugonga mlango na makelele juu anamwambia mkewe umeamua kujifungia ndani inamana unaigiza mwanaume kwangu kumbuka huyu Jamaa wanakaa ghorofa za juu kabisa hapo Kota mkewe akamkumbusha kuwa si umetufungia toka mchana na umeondoka na funguo basi mjeshi na pombe akawa haelewi si ndio mwana kuzunguka na kutaka kuruka ili adake kona apite dirishani Bana Ile kuruka akajikuta kapitiliza na pombe zake mpaka chini hapo hapo akafa Kwa kupasuka kichwa,tukumbuke hasira hasara

RIP MJESHI
Hasira hasara,na siku zote ujuaji ukizidi mwisho wake huwa mbaya.
Na ndio maana busara huwa inahitajika sana kwenye kutatua ufumbuzi wa kila jambo
 
Epuka kuchukua maamuzi ukiwa na furaha sana au ukiwa na hasira sana , inashauriwa temper inapopanda pata glasi moja au mbili za maji halafu jitahidi utoke pale ulipo kama uko ndani toka nje pigwa na upepo kidogo fikra zitabadilika au kama una muda na labda ni asubuhi, mchana au jioni hakikisha unatembea kama mita 200 hivi au ukiwa ndani ruka ruka kamba au piga pushups hiyo hua inasaidia sana kua na busara na kukutoa kwenye msongo wa mawazo
 
Leo ndugu zangu nitawapa mkasa uliotokea kwenye mapenzi katika kambi moja ya jeshi Mkoa WA pwani.Katika mahusiano ya jamaa mmoja ambaye alikuwa mjeshi jamaa tulizoea kila siku anapigiwa na mkewe sasa siku hiyo akakuta SMS za mapenzi Kwa mkewe ndio kisanga kikaanza hapo jamaa akaanzisha timbwili la kufa mtu baada ya kutembeza kichapo akaaifungia familia yake ndani na kuwambia Leo hakuna kutoka naenda kulewa nikirudi naendelea na nilipoishia kaenda zake huko kulewa kulewa kumbe bahati mbaya funguo aliyoondoka nayo akapoteza kurudi kugonga mlango na makelele juu anamwambia mkewe umeamua kujifungia ndani inamana unaigiza mwanaume kwangu kumbuka huyu Jamaa wanakaa ghorofa za juu kabisa hapo Kota mkewe akamkumbusha kuwa si umetufungia toka mchana na umeondoka na funguo basi mjeshi na pombe akawa haelewi si ndio mwana kuzunguka na kutaka kuruka ili adake kona apite dirishani Bana Ile kuruka akajikuta kapitiliza na pombe zake mpaka chini hapo hapo akafa Kwa kupasuka kichwa,tukumbuke hasira hasara

RIP MJESHI
Uandishi wako safi sana!

Sina jingine!
 
Back
Top Bottom