RIP: Picha ya binti mrembo aliyemdunga mchumba wake kisu mara 27

Kuna siri kubwa sana kwenye moyo wa mtu,moyo wa mtu ni kichaka kinachoficha mambo mengi sana,ni Mungu tu ndio anayeweza kuona uovu ulioko kwenye moyo wa mtu,hivyo tunapaswa kuwa karibu na Mungu kila wakati ili aweze kitulinda...
 
Sasa tawi dogo la wanawake wa kenye wapo apo kaskazini.....kwa machariii
 
Nchi ya vijana wanakula miraa! Akili zao zimevurugwa!
 
Ana urembo gani zaidi ya kubonyea mashavu
 
Mademu wa Kenya ilipaswa ndio wawe wanaume na wanaume wawe Mademu.
Wanawake kenya wanawapa sana vipigi vijana wa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…