Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Tunakoelekea asilimia kubwa ya watu watakuwa hawatawazi baada ya kunyaNchi Imefika Pabaya Ama Maji Hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakoelekea asilimia kubwa ya watu watakuwa hawatawazi baada ya kunyaNchi Imefika Pabaya Ama Maji Hakuna
Hii na mm nimejiuliza sana, labda wameenda katavi hukoAsilimia 74 ya watanzania wote! Ndio report za mwendokasi hizi, sample gani ametumia kufikia conclusion ya utafiti wake huu?!
Katika hao wengi ni bodaboda76.5% ya Watu wazima Tanzania wameoza meno kutokana na kutopiga mswaki.
Fahari nyingine ni cakeSema Ni ulaji wa vyakula vya kisasa nowdays mkuu. Mababu walizeeka bila kugusa vyakula vya viwandani. Unakuta mtu akajibebea zake Azam mengo ama Ceres Tena ana feel proud wakati sie tulitafuna embe bichi mtini na likitoka utomvu kabisa.
Nilishuhudia mababu na miswaki ya miti.
Yaani badala ya kushauri watu waache wasile vyakula vinavyoletaga huu uozo wa meno.
Tukate mizizi na sio kukata matawi
Hoja ni kwamba hawapigi mswaki vizuri.Wizara iwakumbushe watu namna ya kupiga mswaki,sehemu za kukazania,muda wa kutumia,nguvu kiasi gani,dawa ya kusindikizia zoezi,mara ngapi kwa siku nk.Pia watoe maelekezo kwa waathirika wachukue hatua zipi.Liwe zoezi endelevu.Hawapigi mswaki au hawapigi mswaki vizuri?
Tutumie Fedha Kidogo Kwenye Force AccountHoja ni kwamba hawapigi mswaki vizuri.Wizara iwakumbushe watu namna ya kupiga mswaki,sehemu za kukazania,muda wa kutumia,nguvu kiasi gani,dawa ya kusindikizia zoezi,mara ngapi kwa siku nk.Pia watoe maelekezo kwa waathirika wachukue hatua zipi.Liwe zoezi endelevu.