Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Namimi namlaumu sana mayele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Namimi namlaumu sana mayele
Imenikumbusha report ya Escrow wakati wa Ludovick Uttoh…kuna page ukisoma ilikuwa inasema ule Mzigo ulikuwa wa Serikali na kuna page ilikuwa inasema ni mzigo wa kina Rugemalila na conclusion pia ikasema either wa Serikali or wa kina Seth
Chawa wa kila upande wakatumia report ya CAG kwa namna walivyopenda kutetea or kupopoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mie nalaumu wauza maweKila mtu aamue anavyoone yeye, kila mtu alaumu mtuwake, mimi namlaumu Raila Odinga
Wakati fulani magari yanakesha pia kutokana na ubovu wa barabara, tochi barabarani, uchakavu wa hayo magari, ukosefu wa madereva makini, nk.Ila ndege inakimbia asee , Dar bukoba saa2 wakati gari hapo ni kukesha
^intentional mistake^kwangju mimi, it was occasioned by human error![]()
Hatua kwa hatua hadi ndege kuanguka ziwani
Novemba 6 mwaka jana, Tanzania iliamshwa na habari mbaya za kuanguka kwa ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba mkoani Kagera na kusababisha vifo...www.mwananchi.co.tz