Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Let me reserve my comment!Hiv Cha MAGUFULI kimetoka nipitie pia ?
Wenzetu wapo wazi kwa kila Jambo bongo utasikia haya n mambo ya familia wakat alikuwa kiongoz wa umma
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiv Cha MAGUFULI kimetoka nipitie pia ?
Wenzetu wapo wazi kwa kila Jambo bongo utasikia haya n mambo ya familia wakat alikuwa kiongoz wa umma
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna aliekamilika wapo watakaomkumbuka mazuri wengine Kwa mabaya sawa na rais Samia pia akimaliza muda wake pia wapo watakaomkumbukaAlisema mtanikumbuka,and he was right.
Hata kama ni uzee, lazima kuna ugonjwa ambao ulimpata. Uzee peke yake siyo sababu ya kifo
There is always going to be an underlying issue. Ni magonjwa ya uzeeni.Kuna wazee upatwa na kifo pasipo ugonjwa