Ripoti inayoelezea mbinu za Marekani kuidhoofisha Urusi iitwayo Rand Corporation 2019

Ripoti inayoelezea mbinu za Marekani kuidhoofisha Urusi iitwayo Rand Corporation 2019

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
Leo katika pitapita zangu nimekutana na kitu kinaitwa Rand Corporation 2019. Hii ni ripoti yénye kuelezea mbinu ambazo Marekani na washirika wake wanaweza kutumia kwa ajili ya kuidhoofisha Urusi pamoja na uwezekano wa kila mbinu kutimiza lengo hilo.

Kilichonishtua zaidi ni kuona kwamba yale yaliyoandikwa humo yanatokea kwa sasa na yanafanyika kwa wazi mfano

1. Kuipa silaha za hatari nchi ya Ukraine
2. Kuongeza sapoti kwa waasi wa Syria
3. Kuchafua taswira ya Urusi kimataifa
4.Kuweka silaha hatari kwenye nchi zinazopakana na Urusi.
5. Kutumia vyombo vya habari kuchafua chaguzi za Urusi Ili zionekane hazifanyiki kwa haki.
6. Kuiwekea Urusi vikwazo vikali vya kiuchumi
7. Kudhibiti uwezo wa Urusi kuuza gesi yake kwa nchi za Ulaya ( hapa nikakumbuka kulipuliwa kwa bomba la Nordstream 2).n.k

In short mambo ni mengi na ukisoma hii ripoti itakufungua sana akili uone mambo yanayotokea duniani mfano vita, migogoro ya kisasa n.k si bahati kuna mipango madhubuti nyuma ya yote tunayoyaona. Na pia kuna mengi yanaendelea ambayo sisi hatuyajui.
Naweka link ya hiyo Ripoti lakini pia wewe mwenyewe unaweza kuingia Google ukatafuta Rand Corporation 2019.

"Overextending and Unbalancing Russia: Assessing the Impact of Cost-Imposing Options | RAND" https://www.rand.org/pubs/research_briefs/RB10014.html
 
Ukiangalia pamoja na hayo yote waliyopanga. Bado Urusi ipo imara sana kiuchumi, kuilinzi na hata taswira yake haijaweza kuchafuliwa.

Lakini pia kumbuka wakati mipango hiyo inapangwa Urusi inakuwa haijalala nao wanapanga counter measures. Vita ya Ukraine ni mojawapo ya counter measures na Kwa Sasa Ukraine ni kopo lisilo na chochote.

Vikwazo vyote na propaganda za kiuchumi na kuichafua vimepelekea madhara kwao zaidi kuliko Urusi yenyewe.

Kuhusu gas na mafuta Urusi Kwa Sasa inauza mafuta na gas nyingi kuliko kabla ya vita kuanza maana yake. Bado anauza ila channel za mauzo zimebadilika via China, India na Turkey ndio wanauizia ulaya na marekani na Kwa bei kubwa zaidi.

Lakujifunza na kulinda Kwa nguvu ni suala la Uingereza (Great Britain) ilikufa sababu ya vita ya pili ya Dunia na marekani ilikufa superpower Kwa sababu hiyo hiyo.

Sasa historia inaweza jirudia mana:
Urusi anakua fika marekani na NATO ndio wanataka kumwangusha. Akizidiwa anayo makombora mengi na mazito ya kupigwa nchi zote kubwa ulaya na marekani. Na mbaya zaidi nyuklia zitatumika na kitakachotokea marneo hayo hayatakalika tena, uzalishaji utakoma maisha yatakoma mwisho nchi hizo zitakuwa na wakati ngumu.

Nchi za Asia zitaibuka super power.
 
Ukiangalia pamoja na hayo yote waliyopanga. Bado Urusi ipo imara sana kiuchumi, kuilinzi na hata taswira yake haijaweza kuchafuliwa.

Lakini pia kumbuka wakati mipango hiyo inapangwa Urusi inakuwa haijalala nao wanapanga counter measures. Vita ya Ukraine ni mojawapo ya counter measures na Kwa Sasa Ukraine ni kopo lisilo na chochote.

Vikwazo vyote na propaganda za kiuchumi na kuichafua vimepelekea madhara kwao zaidi kuliko Urusi yenyewe.

Kuhusu gas na mafuta Urusi Kwa Sasa inauza mafuta na gas nyingi kuliko kabla ya vita kuanza maana yake. Bado anauza ila channel za mauzo zimebadilika via China, India na Turkey ndio wanauizia ulaya na marekani na Kwa bei kubwa zaidi.

Lakujifunza na kulinda Kwa nguvu ni suala la Uingereza (Great Britain) ilikufa sababu ya vita ya pili ya Dunia na marekani ilikufa superpower Kwa sababu hiyo hiyo.

Sasa historia inaweza jirudia mana:
Urusi anakua fika marekani na NATO ndio wanataka kumwangusha. Akizidiwa anayo makombora mengi na mazito ya kupigwa nchi zote kubwa ulaya na marekani. Na mbaya zaidi nyuklia zitatumika na kitakachotokea marneo hayo hayatakalika tena, uzalishaji utakoma maisha yatakoma mwisho nchi hizo zitakuwa na wakati ngumu.

Nchi za Asia zitaibuka super power.
Yeah hapo kwa Ukraine wamefeli sana. Vita ya Ukraine imebackfire, imefanya urusi kupata umaarufu na ushawishi zaidi. Lakini pia kwenye gesi nchi zilizoumia ni Ulaya wenyewe kwa sababu sasahivi zinanunua gesi ya Urusi kwa gharama ya juu zaidi hivyo kuwaathiri kiuchumi mfano viwanda vya magari Ujerumani vinafungwa kwa sababu ya gharama za gesi kuwa kubwa . Pia Urusi kafanikiwa kuzuia nchi za Ulaya kupata vyanzo mbadala vya gesi kwa kujenga urafiki na Syria pamoja na Niger. Hii imezuia uwezekano wa nchi za Ulaya kupata gesi kutoka Nigeria au nchi za mashariki ya kati kwani mabomba ya kusafirisha hizo gesi lazima yapite Niger au Syria. Walitaka kumuangusha Urusi lakini kimewarudia wao.
 
Ulaya haiwezi Gomez gesi ya urusi watakufa kabisa,kutoa gas mashariki ya kati Hadi ulaya ni gharama Mara 5,vinu vya nuclear vya umeme ulaya karibia yote vinaendeshwa Kwa Russia technology,Russia ana rasilimali ulaya haiwezi ishi bila Russia ila Russia inaweza ishi bila ulaya,USA hajaweka vikwazo vya dhahabu na uranium ya Russia kuuzwq USA
 
Ukiangalia pamoja na hayo yote waliyopanga. Bado Urusi ipo imara sana kiuchumi, kuilinzi na hata taswira yake haijaweza kuchafuliwa.

Lakini pia kumbuka wakati mipango hiyo inapangwa Urusi inakuwa haijalala nao wanapanga counter measures. Vita ya Ukraine ni mojawapo ya counter measures na Kwa Sasa Ukraine ni kopo lisilo na chochote.

Vikwazo vyote na propaganda za kiuchumi na kuichafua vimepelekea madhara kwao zaidi kuliko Urusi yenyewe.

Kuhusu gas na mafuta Urusi Kwa Sasa inauza mafuta na gas nyingi kuliko kabla ya vita kuanza maana yake. Bado anauza ila channel za mauzo zimebadilika via China, India na Turkey ndio wanauizia ulaya na marekani na Kwa bei kubwa zaidi.

Lakujifunza na kulinda Kwa nguvu ni suala la Uingereza (Great Britain) ilikufa sababu ya vita ya pili ya Dunia na marekani ilikufa superpower Kwa sababu hiyo hiyo.

Sasa historia inaweza jirudia mana:
Urusi anakua fika marekani na NATO ndio wanataka kumwangusha. Akizidiwa anayo makombora mengi na mazito ya kupigwa nchi zote kubwa ulaya na marekani. Na mbaya zaidi nyuklia zitatumika na kitakachotokea marneo hayo hayatakalika tena, uzalishaji utakoma maisha yatakoma mwisho nchi hizo zitakuwa na wakati ngumu.

Nchi za Asia zitaibuka super power.
Ikiwa hiyo mionzi haitafika huko.
 
Bajeti ya USA ni Tr 25 USD kwa mwaka 2023_2024 na urusi ni Tr 2 USD kwanini hata asipambane na China mwenye Tr 17 USD , urusi hakuna kitu

USSR
Pamoja na kuwa na bajeti kubwa vita ya Urusi na Ukraine imewaacha uchi kuanzia teknologia ya silaha
 
Kazi sana ila world cup Russia ilifana sana hope urusi itafanikiwa kuvuka vikwazo na kuwa imara zaidi ili ku balance power au ikishindikana ICBM zitumike tuanze upya
Thubutu yake
 
Back
Top Bottom