Mhn! Inaweza ikawa “state of denial”I have a feeling that Ben is alive and safe
sijawahi kuamini kuwa Ben ni mwana chadema
I have a feeling yuko kozi na exit style yake pale chadema ilipangwa kuwa hivyo..baada ya kumaliza kazi
My heart never agreed kuwa huyu jamaa amefariki
cc GENTAMYCINE BAK mshana jr
yani hawakuacha hata unyayo? untraceable? au ni kwakua hawakuruhusu uchunguzi wa vyombo vya ulinzi na usalama kutoka nje?
mara ya mwisho nilisikia kuwa mtandao wa simu aliokuwa akitumia hautoi ushirikiano..! kweli? au kuna maagizo kutoka kusiko julikana?
MumeoKwani Ben Saanane ndio nani?
Mkuu kua na uchungu na maisha ya binadamu wenzio sio kila kitu mnachukulia mipasho inaumiza mno kwa wanafamiliaZilipendwa.
Kungekuwa na mahàli pa kudeslike,ninge dislike comment yakoAndiko ' linaboa ' mno kulisoma achilia mbali tu kulielewa.
Kwanini tusianze na kulilaumu jeshi LA police kwa kutokutupa mrejesho wamefika wapi kwenye hili swala, maana wao ndiyo walinzi WA usalama WA raia na Mali zao, kaeni nae tu.Ila tuwe wa kweli na kuweka itikadi zetu za kisiasa pembeni.....Hivi kwanini CHADEMA hawalipi suala la UPOTEVU wa ben UZITO UNAOSTAHILI???
Hili liwe fundisho kwa nyie vijana humu ndani mnaotumiwa na CHADEMA siku mkipotea thamani yenu pia upotea....Mjifunze kupambna na hali zenu na si kutegemea migongo ya watu kujinufaisha
Atakapo potea mamako ndo utaelewaAndiko ' linaboa ' mno kulisoma achilia mbali tu kulielewa.
Kwani Ben Saanane ndio nani?
Kwanza aanze Mwenyekiti.Mkuu kua na uchungu na maisha ya binadamu wenzio sio kila kitu mnachukulia mipasho inaumiza mno kwa wanafamilia
Ni makend.ee yako kenge weweKwani Ben Saanane ndio nani?