jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Mhn! Inaweza ikawa “state of denial”I have a feeling that Ben is alive and safe
sijawahi kuamini kuwa Ben ni mwana chadema
I have a feeling yuko kozi na exit style yake pale chadema ilipangwa kuwa hivyo..baada ya kumaliza kazi
My heart never agreed kuwa huyu jamaa amefariki
cc GENTAMYCINE BAK mshana jr
Jamaa alikuwa anamkosesha sana raha mkuu wa nchi kwenye madai kuhusu phd yake. Cheza na kitu kingine lakini siyo ego ya Magu