Ripoti: Necta 2011 results - mkoa wa arusha

Ripoti: Necta 2011 results - mkoa wa arusha

Siku hizi maadili yameporomoka kabisa, watoto wako busy na ulimwengu. Ukiangalia familia nyingi nafasi ya mzazi haionekani, kuna watoto wengine wameachiwa jamii iliyowazunguka ndo iwalee. Kwa hiyo mtoto akikutana na watu wenye tabia mbaya na yeye anakua hivyo hivyo.

Ki ukweli jibu la matokeo mabaya ya hawa watoto ni Wao kutokuwa serious jamani we angalia madudu yaliyoandikwa na hawa watoto.Kama walimu wachache mbona hili tatizo kwa kiasi fulani limepungua kila siku vyuo vya ualimu vinatapika walimu wengi sana.Mi nipo jirani na shule kama nne ila miienendo yao hairidhizishi kabisa.
 
Kwa ambaye hakupata bahati
ya kuona hii ripoti, imeambatanishwa. Labda itasaidia kujua kwanini
watoto wetu wanafeli, pamoja na ukweli wa hizi ripoti.

Mkuu kilongalonga changu cha mchina hakifungui ma pdf file naomba unipm
 
Ki ukweli jibu la matokeo mabaya ya hawa watoto ni Wao kutokuwa serious jamani we angalia madudu yaliyoandikwa na hawa watoto.Kama walimu wachache mbona hili tatizo kwa kiasi fulani limepungua kila siku vyuo vya ualimu vinatapika walimu wengi sana.Mi nipo jirani na shule kama nne ila miienendo yao hairidhizishi kabisa.


Hilo liko wazi kabisa, ukifuatilia hawa watoto wanapokua wanatoka shuleni kurudi makwao utashangaa sana. Huwezi amini wanayoyafanya njia kama yanafanywa na mtoto anaetoka shuleni kusoma.
 

Sidhani kama umenisoma, mimi nakwambia kabla ya kujudge kuwa mtoto wa form four hatakuwa na analytical skills nenda kwenye muhtasari uone ni competency gani mwanafunzi anapaswa kuwa nazo ndipo uje hapa kuargue kuwa hilo swali limekosewa. Otherwise argument zako ni baseless.

Sijakwambia kuwa kuna swali limekosewa, nakwambia kuwa yale maswali ukiyaangalia yanakwenda kwenye level ya juu ya mwanafunzi wa sekondari. Sasa kama syllabus imeelekeza hivyo basi hiyo silabasi ina kasoro. Huwezi kumpa mtoto wa darasa la kwanza silabasi ya sekondari ukasema utamtahini hivyo. Kwa hiyo kufuata silabasi tu kama kasuku ni ujuha pia. Mtu anayetunga mitihani lazima aangalie anawatungia watu wa level ipi. Na pia awe na uwezo wa kujiuliza hayo maswali anayotunga je kuna mwanafunzi yeyote mwenye uwezi wa kuyajibu?

Unaweza soma hii link uone pia ninachokisema (kwamba utungaji na usahihishaji wa mitihani pia ni issue ya kuangalia kwenye examination performance).
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/14850-grading-system-affects-results
 
Sijakwambia kuwa kuna swali limekosewa, nakwambia kuwa yale maswali ukiyaangalia yanakwenda kwenye level ya juu ya mwanafunzi wa sekondari. Sasa kama syllabus imeelekeza hivyo basi hiyo silabasi ina kasoro. Huwezi kumpa mtoto wa darasa la kwanza silabasi ya sekondari ukasema utamtahini hivyo. Kwa hiyo kufuata silabasi tu kama kasuku ni ujuha pia. Mtu anayetunga mitihani lazima aangalie anawatungia watu wa level ipi. Na pia awe na uwezo wa kujiuliza hayo maswali anayotunga je kuna mwanafunzi yeyote mwenye uwezi wa kuyajibu?

Unaweza soma hii link uone pia ninachokisema (kwamba utungaji na usahihishaji wa mitihani pia ni issue ya kuangalia kwenye examination performance).
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/14850-grading-system-affects-results

1. Anaangalia kutoka wapi??

2. Link nimeiona na nilishasoma yote hayo kwenye hilo gazeti. La maana hapo ni issue ya grading system (kama ni la kweli) mengine ni maoni tu ambayo baadhi hayana justification. On top, ripoti unayoi quote wewe ni ya mwaka 2011. Kinachozungumziwa kwenye link ni matokeo ya 2013!!!!
 
Back
Top Bottom