dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
Siku hizi maadili yameporomoka kabisa, watoto wako busy na ulimwengu. Ukiangalia familia nyingi nafasi ya mzazi haionekani, kuna watoto wengine wameachiwa jamii iliyowazunguka ndo iwalee. Kwa hiyo mtoto akikutana na watu wenye tabia mbaya na yeye anakua hivyo hivyo.
Ki ukweli jibu la matokeo mabaya ya hawa watoto ni Wao kutokuwa serious jamani we angalia madudu yaliyoandikwa na hawa watoto.Kama walimu wachache mbona hili tatizo kwa kiasi fulani limepungua kila siku vyuo vya ualimu vinatapika walimu wengi sana.Mi nipo jirani na shule kama nne ila miienendo yao hairidhizishi kabisa.