Ripoti: Necta 2011 results - mkoa wa arusha


Ki ukweli jibu la matokeo mabaya ya hawa watoto ni Wao kutokuwa serious jamani we angalia madudu yaliyoandikwa na hawa watoto.Kama walimu wachache mbona hili tatizo kwa kiasi fulani limepungua kila siku vyuo vya ualimu vinatapika walimu wengi sana.Mi nipo jirani na shule kama nne ila miienendo yao hairidhizishi kabisa.
 
Kwa ambaye hakupata bahati
ya kuona hii ripoti, imeambatanishwa. Labda itasaidia kujua kwanini
watoto wetu wanafeli, pamoja na ukweli wa hizi ripoti.

Mkuu kilongalonga changu cha mchina hakifungui ma pdf file naomba unipm
 


Hilo liko wazi kabisa, ukifuatilia hawa watoto wanapokua wanatoka shuleni kurudi makwao utashangaa sana. Huwezi amini wanayoyafanya njia kama yanafanywa na mtoto anaetoka shuleni kusoma.
 

Sijakwambia kuwa kuna swali limekosewa, nakwambia kuwa yale maswali ukiyaangalia yanakwenda kwenye level ya juu ya mwanafunzi wa sekondari. Sasa kama syllabus imeelekeza hivyo basi hiyo silabasi ina kasoro. Huwezi kumpa mtoto wa darasa la kwanza silabasi ya sekondari ukasema utamtahini hivyo. Kwa hiyo kufuata silabasi tu kama kasuku ni ujuha pia. Mtu anayetunga mitihani lazima aangalie anawatungia watu wa level ipi. Na pia awe na uwezo wa kujiuliza hayo maswali anayotunga je kuna mwanafunzi yeyote mwenye uwezi wa kuyajibu?

Unaweza soma hii link uone pia ninachokisema (kwamba utungaji na usahihishaji wa mitihani pia ni issue ya kuangalia kwenye examination performance).
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/14850-grading-system-affects-results
 

1. Anaangalia kutoka wapi??

2. Link nimeiona na nilishasoma yote hayo kwenye hilo gazeti. La maana hapo ni issue ya grading system (kama ni la kweli) mengine ni maoni tu ambayo baadhi hayana justification. On top, ripoti unayoi quote wewe ni ya mwaka 2011. Kinachozungumziwa kwenye link ni matokeo ya 2013!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…