Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Taifa stars huwa inafungwa na Zimbabwe sasa unashangaa nini bwashee?
Alafu unasikia mijitu inapiga kelele huku haina ajira wala kipato cha uhakika, “Magufuli Tano Tena”. Uchafu Mtupu!!!
Mazingira mazuri ni kuruhusu kuibiwa hapo nimekuelewa.
Hivi wewe umewai fika sehemu gani hapa duniani??? Maana kutoka kijijini kuja Dar es Salaam ndo umeona Tanzania ni kila kitu eeh????Mazingira mazuri ni kuruhusu kuibiwa hapo nimekuelewa.
Akikujibu niambieMauritius aliyeshika No. 1 yeye hua anaibiwa nini?
Mleta mada hajasema tumewazidi kufanya na kuanzisha biashara, kwa hila tu.Mauritius aliyeshika No. 1 yeye hua anaibiwa nini?
Akikujibu niambie
Mleta mada hajasema tumewazidi kufanya na kuanzisha biashara, kwa hila tu.
Hajasema wanaibiwa niniJibu lake hilo hapo chini mkuu,sijui hata kama ameelewa nilichomuuliza mkuu.
Mazingira mazuri ni kuruhusu kuibiwa hapo nimekuelewa.
Ila kuanzisha na kufanya biashara hapo tumewazidi na ndio muhimu zaidi ila mleta mada kwa hila zako tu ukaamua kuchagua kile kitachoifanya nafsi yako iridhike.
Mbona unaongelea zimbabwe huwaoni wa Kenya walivyotupiga gap
Alafu kuna watu wanajifanya Eti tunawazidi kenya!!! PumbavuMbona unaongelea zimbabwe huwaoni wa Kenya walivyotupiga gap
Mbona unaongelea zimbabwe huwaoni wa Kenya walivyotupiga gap
Kwani walivyochukua mashamba ya wazungu waliweza kuyaendeleza??Habari za kipuuzi kama hizi kwa nini ziruhusuwe? Zimbabwe wanawalipa waliotaifishiwa mashamba mabilioni ya dollari. Wazungu wanawadanganya kwa propoganda za chombo cha WB. Wanabadilishana ardhi na dollari juu kwa hizi sifa za kipuuzi za WB. Huyo Rais wao hana muda atapinduliwa.