Ripoti ya benki ya Dunia inaonesha Zimbabwe ina nafasi nzuri kwa mazingira ya uwekezaji kuliko Tanzania

Ripoti ya benki ya Dunia inaonesha Zimbabwe ina nafasi nzuri kwa mazingira ya uwekezaji kuliko Tanzania

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
IMG_20200828_095800.jpg
IMG_20200828_095753.jpg
IMG_20200828_095809.jpg
IMG_20200828_095806.jpg
 
Mazingira mazuri ni kuruhusu kuibiwa hapo nimekuelewa.

Ila kuanzisha na kufanya biashara hapo tumewazidi na ndio muhimu zaidi ila mleta mada kwa hila zako tu ukaamua kuchagua kile kitachoifanya nafsi yako iridhike.
 
Mazingira mazuri ni kuruhusu kuibiwa hapo nimekuelewa.
Hivi wewe umewai fika sehemu gani hapa duniani??? Maana kutoka kijijini kuja Dar es Salaam ndo umeona Tanzania ni kila kitu eeh????

Kwa taarifa yako ukitembea nchi zilizoendelea kutuzidi hata hapa Africa tu, ndo utaamini kuwa unaishi kwenye utopolo wa ajabu!!
 
Ndo akili zenu, msha kuwa over Brainwash, so Rwanda inaibiwa na nani?
Mazingira mazuri ni kuruhusu kuibiwa hapo nimekuelewa.

Ila kuanzisha na kufanya biashara hapo tumewazidi na ndio muhimu zaidi ila mleta mada kwa hila zako tu ukaamua kuchagua kile kitachoifanya nafsi yako iridhike.
 
Habari za kipuuzi kama hizi kwa nini ziruhusuwe? Zimbabwe wanawalipa waliotaifishiwa mashamba mabilioni ya dollari. Wazungu wanawadanganya kwa propoganda za chombo cha WB. Wanabadilishana ardhi na dollari juu kwa hizi sifa za kipuuzi za WB. Huyo Rais wao hana muda atapinduliwa.
 
Habari za kipuuzi kama hizi kwa nini ziruhusuwe? Zimbabwe wanawalipa waliotaifishiwa mashamba mabilioni ya dollari. Wazungu wanawadanganya kwa propoganda za chombo cha WB. Wanabadilishana ardhi na dollari juu kwa hizi sifa za kipuuzi za WB. Huyo Rais wao hana muda atapinduliwa.
Kwani walivyochukua mashamba ya wazungu waliweza kuyaendeleza??
 
Back
Top Bottom