hahahaaaa nimefurahi kwanza kabsa dada weye kurudi sijui ulikua wapiii hadi nikahisi labda mafisadi walikupata nawewe if not kuku Chifuparaiz au kuku Balali maana hata tujui aliko huyu tapeli!!
nimependa kwanza ulivyomkumbusha huyu bishoo mtalii Jk kuwa bila watanzania asingekua na hako kakibarua kake na uwezo wa hata kutimiza ndoto zake za maisha ikiwemo kukanyaga nyasi za uwanja wowote wa timu yeyote kubwa ya mpira duniani!!
pili ni kweli hiyo heshima na umuhimu wa huyu fisadi kuitwa mheshimiw hata mie naiona hastahili kabsaaa ni bora nimwite mlinzi wangu geitini mheshimiwa kwa sababu so far ananilindia usalama wa maisha yangu au maid wangu anayenikaangizia mahanjumati kuliko huyu tapeli,mtalii,fisadi mpenda cheka cheka ka mtu wa nguvu za giza ( actually he is among them)...
sasa mwisho watuwekee hiyo report nje na waziii ili na sie tusaidie kutoa maoni yetu as kama mabosi wake!!ila pia napenda kuwaambia wale woote wenye original copies za hiyo report watuandalie as i really know how this gov. of us stupid it is as if haina washauri wasomi ndani yake!!!watatoa report edited ambayo ina uongo mwiiiingi ili kuficha ukweli alafu watajitahidi wanyamazisha wahusika wooote lakini wajue tuu therez a day ukweli utajulikana tuu kwa watanzania
always siku za mwizi ni arobaini