Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chama cha siasa ambacho kimeshikilia rekodi ya dunia ya kushambuliwa na serikali, kimeonekana na CAG kuwa chama kinachozingatia weledi katika matumizi ya pesa zake, na hivyo kuudhihirishia ulimwengu kuhusu umakini wa viongozi wake, jambo lililopelekea kuiumbua vibaya sana TAKUKURU iliyowahi kutumika kushambulia chama hiki kwa kutumwa na mtu duni aitwaye Lijuakali.
Note : Chadema haijawahi kubebwa.
Mungu ibariki Chadema .
Note : Chadema haijawahi kubebwa.
Mungu ibariki Chadema .