Ripoti ya CAG kubainisha wizi serikalini bila kuchukuliwa hatua yoyote, je ni maandalizi ya uchaguzi ujao wa mwaka 2025?

Ripoti ya CAG kubainisha wizi serikalini bila kuchukuliwa hatua yoyote, je ni maandalizi ya uchaguzi ujao wa mwaka 2025?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kila mara bila kupata jibu, ni kwanini kila mwaka ripoti ya CAG inabainisha wizi wa mabilioni ya shilingi serikalini, bila ya kuchukuliwa hatua yoyote, je ni mkakati maalum wa Serikali hii ya CCM, kukusanya mapesa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025?

Kwa kuwa haiingii akilini, inakuwaje hawa wateule wachache wa CCM, waachiwe kutafuna mabilioni ya shilingi ya walipa kodi wa nchi hii, wakati sheria za watenda makosa ya jinai zinajuliikana wazi kuwa, kila muhalifu yeyote ndani ya nchi hii, ni lazima mkono wa sheria umkumbe kwa kufikishwa Mahakamani, Ili ajibu tuhuma zake.

Wakati kuna wezi kwa maelfu wa wizi wa kuku, wamehukumiwa na wanatumikia vifungo vyao magerezani, iweje hawa wezi wa mabilioni ya shilingi za walipa kodi wa nchi hii, waachiwe huru bila kuchukuliwa hatua yoyote Kila ripoti ya CAG, inapotoka Kila mwaka?

Tukichukulia pia waliokubuhu kwa wizi huu, ni wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali nchini, ambao ni makada wa CCM, ambao pia ni wateule wa Rais, tukizingatia pia Rais, ametangaza nia ya kugombea u-Rais Katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025, je hii kutochukuliwa hatua yoyote ya kisheria kwa wezi hawa, je ni mkakati wa ukusanyi mapesa kwa chama cha CCM, kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025?

Jibu unalo msomaji wa thread hii.
 
Wanafuata ule msemo wa ukitaka kula kharamu(nguruwe)chagua aliyenona.Au kwa kigogo wanasema..."Kontema montemere,ekhebhumbhu nayere"...!
 
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kila mara bila kupata jibu, ni kwanini kila mwaka ripoti ya CAG inabainisha wizi wa mabilioni ya shilingi serikalini, bila ya kuchukuliwa hatua yoyote, je ni mkakati maalum wa Serikali hii ya CCM, kukusanya mapesa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025?

Kwa kuwa haiingii akilini, inakuwaje hawa wateule wachache wa CCM, waachiwe kutafuna mabilioni ya shilingi ya walipa kodi wa nchi hii, wakati sheria za watenda makosa ya jinai zinajuliikana wazi kuwa, kila muhalifu yeyote ndani ya nchi hii, ni lazima mkono wa sheria umkumbe kwa kufikishwa Mahakamani, Ili ajibu tuhuma zake.

Wakati kuna wezi kwa maelfu wa wizi wa kuku, wamehukumiwa na wanatumikia vifungo vyao magerezani, iweje hawa wezi wa mabilioni ya shilingi za walipa kodi wa nchi hii, waachiwe huru bila kuchukuliwa hatua yoyote Kila ripoti ya CAG, inapotoka Kila mwaka?

Tukichukulia pia waliokubuhu kwa wizi huu, ni wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali nchini, ambao ni makada wa CCM, ambao pia ni wateule wa Rais, tukizingatia pia Rais, ametangaza nia ya kugombea u-Rais Katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025, je hii kutochukuliwa hatua yoyote ya kisheria kwa wezi hawa, je ni mkakati wa ukusanyi mapesa kwa chama cha CCM, kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025?

Jibu unalo msomaji wa thread hii.
 
Wanafuata ule msemo wa ukitaka kula kharamu(nguruwe)chagua aliyenona.Au kwa kigogo wanasema..."Kontema montemere,ekhebhumbhu nayere"...!
Hata kama kula kwa urefu wa kamba yako, kama alivyotoa "blessings" zake Rais wetu Samia Suluhu Hassan, basi ndiyo ulaji wenyewe uwe huu, usiokuwa na aibu, wakati wenye nchi wanateseka usiku na mchana, kuhangaikia maji ya kunywa?
 
Hata kama kula kwa urefu wa kamba yako, kama alivyotoa "blessings" zake Rais wetu Samia Suluhu Hassan, basi ndiyo ulaji wenyewe uwe huu, usiokuwa na aibu, wakati wenye nchi wanateseka usiku na mchana, kuhangaikia maji ya kunywa?
Naamini hili nalo litatazamwa.
 
Naamini hili nalo litatazamwa.
Kwa kweli inatia uchungu Sana, ni kwanini ndani ya nchi moja, watu wachache ambao ni makada wa CCM(wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali) tena wateule wa Rais, waachiwe wazitafune pesa za walipa kodi wa nchi hii, wakati wananchi wengine tukiteseka kwa ufukara wa kutupwa!🥺
 
Kwa kweli inatia uchungu Sana, ni kwanini ndani ya nchi moja, watu wachache ambao ni makada wa CCM, tena wateule wa Rais, waachiwe wazitafune pesa za walipa kodi wa nchi hii, wakati wananchi wengine tukiteseka kwa ufukara wa kutupwa!🥺
Watazilipa wakati wa uchaguzi kwa kuwaibia CHADEMA kura zao halali na kukimbia na makasha ya kura.Hakika watazilipa in a very hard and risky way!
 
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kila mara bila kupata jibu, ni kwanini kila mwaka ripoti ya CAG inabainisha wizi wa mabilioni ya shilingi serikalini, bila ya kuchukuliwa hatua yoyote, je ni mkakati maalum wa Serikali hii ya CCM, kukusanya mapesa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025?

Kwa kuwa haiingii akilini, inakuwaje hawa wateule wachache wa CCM, waachiwe kutafuna mabilioni ya shilingi ya walipa kodi wa nchi hii, wakati sheria za watenda makosa ya jinai zinajuliikana wazi kuwa, kila muhalifu yeyote ndani ya nchi hii, ni lazima mkono wa sheria umkumbe kwa kufikishwa Mahakamani, Ili ajibu tuhuma zake.

Wakati kuna wezi kwa maelfu wa wizi wa kuku, wamehukumiwa na wanatumikia vifungo vyao magerezani, iweje hawa wezi wa mabilioni ya shilingi za walipa kodi wa nchi hii, waachiwe huru bila kuchukuliwa hatua yoyote Kila ripoti ya CAG, inapotoka Kila mwaka?

Tukichukulia pia waliokubuhu kwa wizi huu, ni wakurugenzi wa Halmashauri mbalimbali nchini, ambao ni makada wa CCM, ambao pia ni wateule wa Rais, tukizingatia pia Rais, ametangaza nia ya kugombea u-Rais Kat uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025, je hii kutochukuliwa hatua yoyote ya kisheria kwa wezi hawa, je ni mkakati wa ukusanyi mapesa kwa chama cha CCM, kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025?

Jibu unalo msomaji wa thread hii.
Rais alitoa kibali cha watu kuiba kwa urefu wa kamba zao. Kuna Ridhiwani, Makamba, Nape, Mwigulu, Kinana, Rostam... Tutapona vipi
 
Rais alitoa kibali cha watu kuiba kwa urefu wa kamba zao. Kuna Ridhiwani, Makamba, Nape, Mwigulu, Kinana, Rostam... Tutapona vipi
Kungekuwa na Tume huru ya uchaguzi, tungemalizia hasira zetu kwenye sanduku la kura, lakini kwa Tume hii ya Maheraaa wa CCM, tutangaze tumepigwa tuu na kitu kizito kichwani🥺
 
Tupate katiba mpya kukomesha haya.

Wakurugenzi na mawaziri wapatikane kwa kufanyiwa usaili na tume maalum,na hivyo wasiwe na mlengo wa kisiasa bali utaalam wao.
Pia akifanya ufisadi ashitakiwe papo kwa papo.
 
Mama anajitahidi kupeleka fedha wanazipiga halafu wao ukiwakuta kwenye Bar ndio wa kwanza kumsimanga.

Tulishalogwa.
 
Tupate katiba mpya kukomesha haya.

Wakurugenzi na mawaziri wapatikane kwa kufanyiwa usaili na tume maalum,na hivyo wasiwe na mlengo wa kisiasa bali utaalam wao.
Pia akifanya ufisadi ashitakiwe papo kwa papo.
Samiaagain2025
Umeongea hoja ya msingi Sana, hao wakurugenzi ni lazima waombe hiyo Kazi na wafanyiwe usaili kama Kazi nyingine🤝

Ndiyo utakuwa mwisho wa upigaji huu, lakini Kazi hiyo tukimwachia Rais ndiyo awateue, basi upigaji huu hautakoma hadi mwisho wa Dunia!🥺
 
Hii ni ile awamu ya "Kazi na Bata" lakini dooh!! tumezidisha upigaji wa kufuru.
 
Back
Top Bottom