Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Kwa namna siasa zetu zilivyo tutarajie kwamba .
Kama Samia atapita 2025 basi mambo yatabakia hivi hivi nikimaanisha kwamba ripoti ya fedha kwa mwaka 2025/2026 ya CAG itakua safi sana.
Ila kama mambo yakiwa tofauti basi isikilizie kwani lazima itaukandia mno awamu ya sita.
Lakini kwa uhakika sana Mungu akitujalia na sote tuseme Amin basi mwaka 2030/2031 ripoti ya CAG itakua mbaya sana kwa utawala huu.
Na hasa hasa fedha zilizokuwa zinapelekwa Zanzibar , Miradi Taneso na mingineyo tutaambiwa ni ufisadi uliokithiri na watu wale wale wataanza kuikashifu awamu hii kama vile hawakuwepo.
Aina hii ya siasa ni mbaya hailisaidii taifa bali linamsaidia kiongozi anayekua madarakani kwa muda huo.
Tunachohitaji ni maendeleo ya Wananchi na sio mashindano ya viongozi kwamba nani ni bora kuliko mwenzake.
Wananchi tumepata somo , tuna pa kuanzia.
Kama Samia atapita 2025 basi mambo yatabakia hivi hivi nikimaanisha kwamba ripoti ya fedha kwa mwaka 2025/2026 ya CAG itakua safi sana.
Ila kama mambo yakiwa tofauti basi isikilizie kwani lazima itaukandia mno awamu ya sita.
Lakini kwa uhakika sana Mungu akitujalia na sote tuseme Amin basi mwaka 2030/2031 ripoti ya CAG itakua mbaya sana kwa utawala huu.
Na hasa hasa fedha zilizokuwa zinapelekwa Zanzibar , Miradi Taneso na mingineyo tutaambiwa ni ufisadi uliokithiri na watu wale wale wataanza kuikashifu awamu hii kama vile hawakuwepo.
Aina hii ya siasa ni mbaya hailisaidii taifa bali linamsaidia kiongozi anayekua madarakani kwa muda huo.
Tunachohitaji ni maendeleo ya Wananchi na sio mashindano ya viongozi kwamba nani ni bora kuliko mwenzake.
Wananchi tumepata somo , tuna pa kuanzia.