Shetani hana rafiki , Dr Slaa tulimuonya sana lakini akatupuuza , atavuna alichopanda
Hoja ya kijinga isiyohusiana na uzi huuWaulize CHADEMA Kama bado wanapambana na ufisadi
Kama hela ya kukodi nyumba ilikuwepo kwanini wasingeitumia kukarabati hizo nyumba za ubalozi?
Slaa mwenyewe ndiye ajuaye mimi ni nani , kapuku kama wewe huwezi kujua loloteUlimuonya kama nani!acha ujuaji we popoma
Hahahaha.. hahahaUlimuonya kama nani!acha ujuaji we popoma
Mkuu mtoa post hajaelewa. Anafikiri Dk. Slaa alipewa kukarabati badala yake akakodi.
Acheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.Kwa maan hiyo CAG anataka kutuambia kuwa, mtu akijiunga na chama chetu hata kama msafi kiasi gani lazima na yeye awe fisadi! mimi sikubali hata kidogo, au kwa sababu kile alichokiita choo sebuleni kimerudi chumbani, sasa si chumba kinakuwa self? nisaidieni jamani.
VIDEO: Bilioni 1 ilivyotumika kukodi makazi ya balozi tatu