Ripoti ya CAG, ufisadi kwenye ubalozi wa Sweden. Je, CAG ameamua kumchafua Dkt. Slaa?

Ripoti ya CAG, ufisadi kwenye ubalozi wa Sweden. Je, CAG ameamua kumchafua Dkt. Slaa?

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.

My take: Njaa ni mbaya sana.
Yule anapotezwa na mushumbus. Jimama lake lile
 
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.

My take: Njaa ni mbaya sana.
Huyu Mzee mwisho wake utakuwa mbovu; tamaa na dhambi ya usaliti vitamfuata popote aendapo!!
 
Hoja ya kijinga isiyohusiana na uzi huu
Hata mimi naunga mkono kwamba kuuliza kama Chadema bado wanapambana na ufisadi ni hoja ya kijinga, maana kila mtu anajua Chadema waliiacha hiyo hoja toka mwaka 2015. Au sio Erythrocyte?
 
CAG huyu mpya? Naye anafuata nyayo za Prof. Assad? Anapaswa kujua kwamba kuna kutumbuliwa.
 
Hata mimi naunga mkono kwamba kuuliza kama Chadema bado wanapambana na ufisadi ni hoja ya kijinga, maana kila mtu anajua Chadema waliiacha hiyo hoja toka mwaka 2015. Au sio Erythrocyte?
Jika la makengeza linajibu.
 
Kipindi Wanafanya Ukarabati wangekuwa wamekaa wapi? Wao wawape fedha za Ukarabati, wakarabati basi.

Kupanga bado hakuepukiki Kama Makazi yanahitaji kukarabatiwa. Ukikarabati lazima upishe Ukarabati.

Kama nimepanga kutokana na ubovu wa miundombinu, na hujaniwezesha fedha za kukarabati hiyo miundombinu yenyewe nitapanga tu. We karabati, nikiendelea kupanga nilime hoja. Lakini bila kukarabati afu unanilima hoja, ni upishi wa hoja.

Hicho ni kiashiria Cha hoja, ambacho serikali inatakiwa kukiondoa kwa kutoa fedha za Ukarabati. Basi.

Labda ingekuw hivi, "Pamoja na Nchi yetu kutumia fedha kadhaa kukarabati nyumba za ubalozi wa Tanzania nchini A, B, C lakn bado Mabalozi katika nchi hizo wameendelea kuishi katika nyumba za kupanga. Jambo hilo limeiingizia serikali hasara ya kiasi Cha shilingi ......!". Hiyo ndo hoja.

Lakn Kama hoja iko Kama alivyoiwasilisha, inaibana Serikali na siyo Dr. Slaa!

Lugumya.
Kama hela ya kukodi nyumba ilikuwepo kwanini wasingeitumia kukarabati hizo nyumba za ubalozi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema katika ukaguzi unaoishia Juni 30, 2019 amebaini Balozi za Tanzania nchini Brazil, Nigeria na Stockholm(Sweden aliko Dr. Wilbroad Slaa) zimetumia Sh1.02 bilioni kukodi nyumba za makazi kiasi ambacho kingeepukika kama wangekarabati nyumba zao za makazi.

My take: Njaa ni mbaya sana.
Ukijiunga CCM lazima uwe fisasi, muuaji,mchawi na mambo yanayofanana na hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi Wanafanya Ukarabati wangekuwa wamekaa wapi? Wao wawape fedha za Ukarabati, wakarabati basi.

Kupanga bado hakuepukiki Kama Makazi yanahitaji kukarabatiwa. Ukikarabati lazima upishe Ukarabati.

Kama nimepanga kutokana na ubovu wa miundombinu, na hujaniwezesha fedha za kukarabati hiyo miundombinu yenyewe nitapanga tu. We karabati, nikiendelea kupanga nilime hoja. Lakini bila kukarabati afu unanilima hoja, ni upishi wa hoja.

Hicho ni kiashiria Cha hoja, ambacho serikali inatakiwa kukiondoa kwa kutoa fedha za Ukarabati. Basi.

Labda ingekuw hivi, "Pamoja na Nchi yetu kutumia fedha kadhaa kukarabati nyumba za ubalozi wa Tanzania nchini A, B, C lakn bado Mabalozi katika nchi hizo wameendelea kuishi katika nyumba za kupanga. Jambo hilo limeiingizia serikali hasara ya kiasi Cha shilingi ......!". Hiyo ndo hoja.

Lakn Kama hoja iko Kama alivyoiwasilisha, inaibana Serikali na siyo Dr. Slaa!

Lugumya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bajeti ya Balozi husika ipo chini yake ila Balozi huyo hajaonesha intention ya kufanya ukarabati anasubiri miujiza, kazi yake kulala tu 5 star hotel.
 
Back
Top Bottom