Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kwa hiyo Dr Slaa amezitia mfukoni kwake hizo pesa? CAG katoa ushauri wakarabati nyumba ili kupunguza gharama hajasema kuna mtu kafisadi pesa za serikali.Shetani hana rafiki , Dr Slaa tulimuonya sana lakini akatupuuza , atavuna alichopanda