CIA wana operatives wao wengi sana hapa Tanzania.Na hata sasa hivi wanazidi kujaa.Kwa msio fahamu.Kutokana na teknolojia zilizopo na uwezo wao kuidentify mtu kwa kutumia TEHAMA yaani simu,computer na nawasiliano binafsi wanao uwezo wa kufanya Clandestine surveilance ya uhakika zaidi.
Teknolojia nyingi ambazo unaziona zinatumiwa na civilian au zinaigizwa kwenye movies zinazoitwa scientific fiction huwa unakuta tayari zimefanyiwa development katika Research facilities za Kijeshi.USA ni moja kati ya nchi zenye bajeti kubwa sana ya Jeshi na kiasi kikubwa kinaenda katika R & D.
Hata baadhi ya miradi mingi ya TEHAMA ambayo ina sura ya kibiashara mingi inakuwa backed up na JESHI kupitia kitengo cha UTAFITI kwa lengo la kuhakikisha kwamba wanakuwa ahead.Watu kama Elon Musk ambao ni matajiri wakubwa duniani au kina Bili Gates,Zuckerberg na wengine wengi huwa projects zao kwa ndani kabisa zinakuwa sponsored na Military.
Cha kujiuliza ni je Kwa sasa hivi ambapo hakuna classified documents ambazo zimekuwa released huko USA kupitia FIA hasa za CIA je tunawezaje kujua kuhusu Surveilance activities zao hapa nchini kwetu?Je tuna counter surveilance ya kutosha kuweza kudhibiti au kuelewa shughuli zao za kijasusi hapa nchini?Je miaka ijayo kutakapokuwa na classified information kuhusu nchi yetu ambazo zimekuwa released na hao CIA je unafikiri ni kwa kiasi gani baadhi ya mambo yanayofanyika sasa hivi ambayo hatuyaelewi yataeleweka na watu wa kizazi hicho?