Ripoti ya CIA ikiichunguza Tanzania miaka ya 1980s

Ripoti ya CIA ikiichunguza Tanzania miaka ya 1980s

CIA wana operatives wao wengi sana hapa Tanzania.Na hata sasa hivi wanazidi kujaa.Kwa msio fahamu.Kutokana na teknolojia zilizopo na uwezo wao kuidentify mtu kwa kutumia TEHAMA yaani simu,computer na nawasiliano binafsi wanao uwezo wa kufanya Clandestine surveilance ya uhakika zaidi.

Teknolojia nyingi ambazo unaziona zinatumiwa na civilian au zinaigizwa kwenye movies zinazoitwa scientific fiction huwa unakuta tayari zimefanyiwa development katika Research facilities za Kijeshi.USA ni moja kati ya nchi zenye bajeti kubwa sana ya Jeshi na kiasi kikubwa kinaenda katika R & D.

Hata baadhi ya miradi mingi ya TEHAMA ambayo ina sura ya kibiashara mingi inakuwa backed up na JESHI kupitia kitengo cha UTAFITI kwa lengo la kuhakikisha kwamba wanakuwa ahead.Watu kama Elon Musk ambao ni matajiri wakubwa duniani au kina Bili Gates,Zuckerberg na wengine wengi huwa projects zao kwa ndani kabisa zinakuwa sponsored na Military.

Cha kujiuliza ni je Kwa sasa hivi ambapo hakuna classified documents ambazo zimekuwa released huko USA kupitia FIA hasa za CIA je tunawezaje kujua kuhusu Surveilance activities zao hapa nchini kwetu?Je tuna counter surveilance ya kutosha kuweza kudhibiti au kuelewa shughuli zao za kijasusi hapa nchini?Je miaka ijayo kutakapokuwa na classified information kuhusu nchi yetu ambazo zimekuwa released na hao CIA je unafikiri ni kwa kiasi gani baadhi ya mambo yanayofanyika sasa hivi ambayo hatuyaelewi yataeleweka na watu wa kizazi hicho?
Ndiyo maana tuna tiss na m.i,wao wanajua kazi hizo
 
CIA wana operatives wao wengi sana hapa Tanzania.Na hata sasa hivi wanazidi kujaa.Kwa msio fahamu.Kutokana na teknolojia zilizopo na uwezo wao kuidentify mtu kwa kutumia TEHAMA yaani simu,computer na nawasiliano binafsi wanao uwezo wa kufanya Clandestine surveilance ya uhakika zaidi.

Teknolojia nyingi ambazo unaziona zinatumiwa na civilian au zinaigizwa kwenye movies zinazoitwa scientific fiction huwa unakuta tayari zimefanyiwa development katika Research facilities za Kijeshi.USA ni moja kati ya nchi zenye bajeti kubwa sana ya Jeshi na kiasi kikubwa kinaenda katika R & D.

Hata baadhi ya miradi mingi ya TEHAMA ambayo ina sura ya kibiashara mingi inakuwa backed up na JESHI kupitia kitengo cha UTAFITI kwa lengo la kuhakikisha kwamba wanakuwa ahead.Watu kama Elon Musk ambao ni matajiri wakubwa duniani au kina Bili Gates,Zuckerberg na wengine wengi huwa projects zao kwa ndani kabisa zinakuwa sponsored na Military.

Cha kujiuliza ni je Kwa sasa hivi ambapo hakuna classified documents ambazo zimekuwa released huko USA kupitia FIA hasa za CIA je tunawezaje kujua kuhusu Surveilance activities zao hapa nchini kwetu?Je tuna counter surveilance ya kutosha kuweza kudhibiti au kuelewa shughuli zao za kijasusi hapa nchini?Je miaka ijayo kutakapokuwa na classified information kuhusu nchi yetu ambazo zimekuwa released na hao CIA je unafikiri ni kwa kiasi gani baadhi ya mambo yanayofanyika sasa hivi ambayo hatuyaelewi yataeleweka na watu wa kizazi hicho?
Kuna mtu alinianbia ule mradi wa chai kule Njombe ambao unaitwa NORDIC kama sijakosea, ni CIA wako kazini hapa nchini. Wanapitisha wataalamu wao kupitia mradi wa chai.
 
CIA wamekuwa na kawaida ya kudisclose classified intels kila baada ya muda flani kuanzia miaka 10 na kuendelea baada ya kujiridhisha kuwa disclosure ya hizo info hazina tena impact katika jamii iliyokuwa imelengwa.
Vita baridi kati ya US na USSR na baadae Russia ilipelelea CIA kusambaza majasusi katika nchi nyingi zilizokuwa zikifuata mrengo wa itikadi za kijamaa (Russia's ideology) Tanzania ikiwa ni mojawapo kuangalia na kuchunguza influence na miradi iliyokuwa funded au kusimamiwa na Urusi na China kwaajili ya kuhakikisha hakuna muingiliano na kulinda interests za Marekani.
Kwahiyo sishangai kusikia CIA kutoa report ya kuichunguza Tanzania miaka ya 1980's
 
Duh hawa jamaa ukute ata ikulu yetu wanaijua kuliko ata wanaoishi mule
Sio hivyo tu, mpaka ratiba za mh. Rais za siku nzima na aina zote za wageni anaokutana nao kila siku. Mara nyingi hupandikiza watu katika vital organs za nchi ili kupata kila taarifa ambayo huchuja na kupata yenye manufaa kwao. Na hii haifanywi tu na CIA bali karibia na nchi zote za ulimwengu wa kwanza.
 
CIA wamekuwa na kawaida ya kudisclose classified intels kila baada ya muda flani kuanzia miaka 10 na kuendelea baada ya kujiridhisha kuwa disclosure ya hizo info hazina tena impact katika jamii iliyokuwa imelengwa.
Vita baridi kati ya US na USSR na baadae Russia ilipelelea CIA kusambaza majasusi katika nchi nyingi zilizokuwa zikifuata mrengo wa itikadi za kijamaa (Russia's ideology) Tanzania ikiwa ni mojawapo kuangalia na kuchunguza influence na miradi iliyokuwa funded au kusimamiwa na Urusi na China kwaajili ya kuhakikisha hakuna muingiliano na kulinda interests za Marekani.
Kwahiyo sishangai kusikia CIA kutoa report ya kuichunguza Tanzania miaka ya 1980's
Hoja ya msingi kwa nn wazi release after a certain time???

Kwa nn wasikae nazo kimya ili tusijue .
 
Yawezekana waliowezesha info hizi kupatikana huko CIA utashangaa sana! Na yawezekana matendo yao ya sasa yanaashiria uwezekano wa waho kuhusika!
 
Hoja ya msingi kwa nn wazi release after a certain time???

Kwa nn wasikae nazo kimya ili tusijue .
Baada ya kujiridhisha kuwa hizo infos haziwezi kusababisha demage tena kwenye huzideclassify ili kuongeza awareness katika taasisi zao na kuruhusu watafiti mbalimbali kuziingiza kwenye historia kwaajili yakuongeza maarifa ya umma.
Wenzetu wana kitu kinachoitwa Automatic declassification of information chini ya wizara ya sheria (Depertment of Justice) inayompa uwezo agency head uwezo wa kurelease information that can no longer cause demage to the public inayoitwa "Exacutive Order 13526" under section 3.3(b).
 
Back
Top Bottom