Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Wakuu,itakumbukwa kuwa TFF iliunda kamati kwa ajili ya ushindi wa TFF
Mechi ya marudiano dhidi ya Algeria ikaahidi 500M kwa timu ikiwa ingeitoa Algeria.
Yaani mechi moja 500M. Ikumbukwe kuwa Tstars ingeitoa Algeria ,sio kwamba ndio Taifa stars ingekuwa
imefuzu,ingetakiwa iende kwenye kundi lenye Timu nne, ikizizidi na kuwa ya kwanza kundini ndio ingefuzu Russia 2018.
Hawa jamaa walikusanya hela kupitia SMS na vyanzo vingine, Ikumbukwe kuwa timu ya Taifa inadhaminiwa na Bia ya Kilimakyaro.
Ninawaomba kamati ya TFF watoe mrejesho wa kazi yao ikiwemo makusanyo,matumizi,na chenji.
Isijekuwa walikuwa wanaombea Tstars tupigwe(ila sio kwa goli nyingi vile) ili wazijigijie hizo hela.
(Na wao walikuwa wanaombea ifungwe ili wazitafune?)
Mechi ya marudiano dhidi ya Algeria ikaahidi 500M kwa timu ikiwa ingeitoa Algeria.
Yaani mechi moja 500M. Ikumbukwe kuwa Tstars ingeitoa Algeria ,sio kwamba ndio Taifa stars ingekuwa
imefuzu,ingetakiwa iende kwenye kundi lenye Timu nne, ikizizidi na kuwa ya kwanza kundini ndio ingefuzu Russia 2018.
Hawa jamaa walikusanya hela kupitia SMS na vyanzo vingine, Ikumbukwe kuwa timu ya Taifa inadhaminiwa na Bia ya Kilimakyaro.
Ninawaomba kamati ya TFF watoe mrejesho wa kazi yao ikiwemo makusanyo,matumizi,na chenji.
Isijekuwa walikuwa wanaombea Tstars tupigwe(ila sio kwa goli nyingi vile) ili wazijigijie hizo hela.
(Na wao walikuwa wanaombea ifungwe ili wazitafune?)