JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,935
- 3,346
Heshima kwenu wana JF,
Ni muda mrefu sasa umepita tangu majanga ya kulipuka kwa mabomu kule mbagala. Kwa hekma ya Mh. waziri wa wizara husika aliunda tume ya kuchunguza nini ilikuwa sababu hasa ya ile milipuko iliyo sababisha vifo na hasara nyingi kwa ndugu zetu wa mbagala na maeneo jirani, kwa busara za mh waziri alitamka wazi kuwa kama itathibitika kuwa yale matukio yalitokana na uzembe wa watendaji wake basi angejiuzulu wadhifa wake, sasa je mpaka sasa ile tume bado haijawasilisha ripoti au Mh. anaogopa kutimiza azma yake ya kujiuzulu pindi atakapo tangaza yaliyomo kwenye tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha maafa.
Ni muda mrefu sasa umepita tangu majanga ya kulipuka kwa mabomu kule mbagala. Kwa hekma ya Mh. waziri wa wizara husika aliunda tume ya kuchunguza nini ilikuwa sababu hasa ya ile milipuko iliyo sababisha vifo na hasara nyingi kwa ndugu zetu wa mbagala na maeneo jirani, kwa busara za mh waziri alitamka wazi kuwa kama itathibitika kuwa yale matukio yalitokana na uzembe wa watendaji wake basi angejiuzulu wadhifa wake, sasa je mpaka sasa ile tume bado haijawasilisha ripoti au Mh. anaogopa kutimiza azma yake ya kujiuzulu pindi atakapo tangaza yaliyomo kwenye tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha maafa.