DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 551
Kwa nini hao Wabunge wa CCM wanataka kukutana wenyewe? Hivi wanachi wataendelea kusalitiwa mpaka lini? Kweli watajadili hiyo ripoti kwa moyo wa kizalendo au ndio watajifanya kubweka tu, wakiwa wameelekezwa cha kusema? Yetu macho na masikio..halafu mauvimivu makali..ila hatujazoe..ipo siku..nayo ni leo....MTANZANIA AMKAAAAAAAAAAAAA
Perhaps Lucas Selelii or Mama Kilango can dare do that......!
Hopefully!
halitakua na mamlaka ya kujadili kilichoko mahakamani.mwaonaje.
Nasikia dakika za mwisho mwisho za uchunguzi waliweza kuona mpini wa ile bunduki ifukayo moshi... na kuna uwezekano alama za vidole zilibakia. Hilo linawatisha.
..mama kilango-malecela anaweza,lakini sidhani kama atafanya hivyo.
Kwa nini huamini kwamba Mama Kilango Malecela hawezi kumkoma nyani mchana kweupe?
Huyu ana ghadhabu na mtandao kwa sababu walimbania nafasi ya kuwa na EOTF yake, baada ya mumewe kumwagwa kule Chimwaga.
Watamjua kwamba yeye ni nani.
Nadhani ifike wakati wananchi waambiwe kuchukua sheria mkononi kama vile wanavyofanya kila siku kwenye vituo vya mabasi mikoani dhidi ya wezi wa mfukoni.
Nasikia dakika za mwisho mwisho za uchunguzi waliweza kuona mpini wa ile bunduki ifukayo moshi... na kuna uwezekano alama za vidole zilibakia. Hilo linawatisha.
Sasa KIKAO CHA WABUNGE WA CCM, kesho USIKU.... na mambo yote yatawekwa hadharani hiyo kesho kabla ya watu kuanza "kutema cheche" Alhamisi
EL IS SICK OF AL FASADI DISEASE,tangu lini waziri mkuu akaitisha kikao cha baraza la mawaziri?tena cha ghafla..huu ndio ubia ambao muungwana hataki kuukubali,HAO wanaotaka kumfufua THE LATE AMINA,naomba wamfufue na marehemu mwalimu JULIUS JK nyerere,aje aone ccm aliyoitabiri!
sidhani kama hiki ni kikao cha Baraza la Mawaziri lakini Kikatiba (ibara ya 54:2) inampa uwezo Waziri Mkuu kuongoza kikao cha Baraza Mawaziri endapo Rais au Makamu wake hawapo.