Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo si kukataa kubinafsisha, issue hapa ni kujifunza kwanza what went wrong tulipoanza kufanya biashara na kampuni binafsi kama mambo ya IPTL na Richmond, halafu tukosoe hitilafu zilizotokea katika vitu hivyo ndio tuweze kuwaachia kampuni nzima kabisa. T
Nani vile walikuwa maziri wa Nishati na Madini na wizara ya fedha wakati wa kutiwa sign mkataba wa IPTL...naona giza mimi hapo!! maana hao ndo wa kuanza nao...
Anaogopa wata-mkolimba. Si unajua tena wazee wanavyoogopa.....Kweli mzee wetu Malecela anashuka taratiiibu kutoka juu. Duh! namsikitikia sana. Kama ndio kusema ndio mzee kila wakati ili mkono uende kinywani hii yake imezidi!
Kweli umri ukizidi kusogea unaishiwa na point!
Nimeiona Jamani Namuona Mwakyembe Anataja Kabisa Kuwa El Amehusika,el Kainamma Hana Hamu...
Nimeiona Jamani Namuona Mwakyembe Anataja Kabisa Kuwa El Amehusika,el Kainamma Hana Hamu...
Patamu hapa! Ngoja nikachukue kikombe cha chai nakuja!
mlioko karibu,na tv tupeni vitu