Udaku unasema ana jina la PM kapuni anasuburia tu!
Anasubiria nini? Yaani anataka atumie Bunge ili yeye (JK) asionekane ni mbaya kwa EL na RA? Kama watu wamemwangusha si aseme tu kwamba wamekuwa mzigo na hawabebeki tena so kila mtu aende kivyake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udaku unasema ana jina la PM kapuni anasuburia tu!
Anasubiria nini? Yaani anataka atumie Bunge ili yeye (JK) asionekane ni mbaya kwa EL na RA? Kama watu wamemwangusha si aseme tu kwamba wamekuwa mzigo na hawabebeki tena so kila mtu aende kivyake!
Mheshimiwa Spika, vilevile Mhe. Rostam Aziz alitakiwa atoe maelezo kuhusu uhusiano wake na Kampuni za Richmond Development Company LLC na Dowans Holdings S.AKubainisha Richmond Development Company LLC ni kina nani, na ni kampuni ya shughuli zipi na hivyo kupima uwezo wake kupatiwa zabuni ya kuleta nchini na kujenga mtambo wa umeme wa gesi wa MW 100;
Kutathmini mchakato mzima wa jinsi zabuni waliyoshinda Richmond ilivyoshughulikiwa kuanzia Kamati ya Zabuni hadi mwisho ili kujiridhisha kuwa sheria, taratibu, miiko na maadili ya zabuni yanayotawala zabuni za aina hiyo vilifuatwa au vipi;
Mheshimiwa Spika, tarehe hiyo hiyo 22 Februari, 2006 TANESCO ikaiarifu Wizara kuhusu ushauri wa PPRA. Wizara ikaukataa na kuiagiza TANESCO kutekeleza agizo la Waziri bila kukosa kwa kuitangaza zabuni hiyo. Zabuni hiyo ikatangazwa kwa utaratibu wa ndani tarehe 23 Februari 2006. Hatua hiyo iliishitua PPRA ambayo iliiandikia barua TANESCO kuelezea kushangazwa kwake na hatua ya shirika hilo kukaidi ushauri wa kitaalamu na wa kisheria. PPRA ikasisitiza kuwa, njia pekee kwa TANESCO kupata wazabuni wazuri na wenye sifa stahili katika kipindi kifupi ni kutumia utaratibu ilioupendekeza wa international shopping.Kutathmini mkataba baina ya Richmond Development Company LLC na TANESCO ili kujiridhisha kuhusu uhalali wa masharti ya mkataba huo ukizingatia gharama na masharti mengine ukilinganisha na masharti yaliyomo katika mikataba ya aina hiyo iliyoafikiwa na TANESCO/Serikali;
Mheshimiwa Spika, TANESCO ikionyesha dhahiri kusukumwa tu na Wizara, ikaiandikia tena PPRA Jumapili tarehe 26 Februari 2006 kuelezea kuwa sasa imeagizwa na Serikali kuitangaza zabuni hiyo magazetini, hivyo mamlaka hiyo ya udhibiti wa ununuzi wa umma itoe idhini ya kutangaza zabuni ya kimataifa kwa siku chache kuliko zilizowekwa na sheria. TANESCO huku ikijua kabisa kuwa PPRA isingeweza kuipata na kuijibu barua hiyo Jumapili, ikatangaza zabuni hiyo magazetini tarehe 27 Februari 2006 na kuwataka wazabuni wawasilishe zabuni zao tarehe 6 Machi 2006 yaani siku 10 baada ya kuchukua nyaraka za zabuni tarehe 24 Februari 2006.Kubainisha huduma na misaada mbalimbali waliyopewa Richmond kama vile kufunguliwa Letter of Credit na kupima uhalali wake;
Kuziangalia na kuzitolea maoni taarifa za TAKUKURU, PPRA na taarifa zozote nyingine zilizoangalia utaratibu wa zabuni ya Richmond
Siku hiyo hiyo tarehe 21 Juni 2006, Waziri wa Nishati na Madini akamwandikia dokezo Katibu Mkuu wake aiagize TANESCO iingie mkataba mara moja na Richmond Development Company LLC baada ya Waziri Mkuu kuidhinisha mapendekezo ya Wizara. Muda mfupi baadaye, kwa kutekeleza agizo la Waziri, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini akamwandikia barua Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO Balozi Fulgence Kazaura kumwagiza ahakikishe kuwa TANESCO inasaini mkataba na Richmond Development Company LLC.Kuangalia mambo mengine yoyote yenye uhusiano na mchakato mzima wa Richmond ili kutoa mapendekezo ya kuboresha taratibu za zabuni kwa siku zijazo, kwa maslahi ya Taifa letu
Leo ni litmus test kwa JK. Keshatafuniwa kila kitu imebaki yeye kumeza tu. Akishindwa hapa basi credibility yake itashuka sana.
Mistake ambayo JK alifanya ni kuweka mwizi/jambazi/mhuni kuwa waziri mkuu