Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hi serikali ya ajabu sana,Wakuu wa shule wanajifanya Miungu watu.Na hawachukuliwi hatua yeyote.
Kuna Mkuu wa shule Kaloleni anasinzia sana,anaongea na mzazi utafikiri anaongea na mbwa.Sijui Mmasai wa wapi huyo.
Viongozi wa Elimu mnachukua hatua gani kushugulikia malalamiko wa wananchi?