Hi serikali ya ajabu sana,Wakuu wa shule wanajifanya Miungu watu.Na hawachukuliwi hatua yeyote.
Kuna Mkuu wa shule Kaloleni anasinzia sana,anaongea na mzazi utafikiri anaongea na mbwa.Sijui Mmasai wa wapi huyo.
Viongozi wa Elimu mnachukua hatua gani kushugulikia malalamiko wa wananchi?