Ripoti ya uchunguzi wa kifo cha Patrick Karegeya mkuu wa zamani wa Usalama wa Rwanda

Ripoti ya uchunguzi wa kifo cha Patrick Karegeya mkuu wa zamani wa Usalama wa Rwanda

Jason Bourne

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2011
Posts
200
Reaction score
438
Apollo gafaranga ndiye aliyetekeleza mauaji ya patrick karegeya huko jo’burg..huyu apollo ni mmoja wa wafanya biashara wakubwa hapo rwanda akiwa na sophisticated thietre maeneo ya nyamirambo ambapo sasa ni maarufu kwa jina la cine star cinema …ujenzi wa kituo hicho uligharim dola million moja na siku ya ufunguzi mwaka 2009 aliyefungua ni bwana paul kagame mwenyewe

nyuma ya paziwa bwana apollo gafaranga alikuwa trained spy na pia assassin wa hali ya juu sana na wakati huyu patrick karegeya akiwa masterspy miaka hiyo huyu gafaranga alikuwa ni mmoja wa ma infomer wake.

baada ya patrick karegeya kukimbia na kwenda kuishi uhamishoni nchini A.kusin, kule rwanda kuna kikundi kilichoundwa na bwana kagame kijulikanacho kama ”escadron de la mort” huyu apollo gafaranga laikuwa ni mmoja wa wana kikundi hao ambapo lengo kubwa la kikundi hiki ni kutafuta wale wote walio kinyume na utawala wa rwanda na kuwamaliza.

baada ya kuingizwa katika kikundi hiki bwanda gafaranga alipewa mafunzo ya hali ya juu ya namna ya kutekelekza mauaji bila kujulikana na target yake kuwa ilikuwa ni huyu karegeya….

baada ya mafunzo kukamilika na biashara hiyo kuwa imefunguliwa kama ”cover story” machoni pa macho ya watu wa kawaida. mwaka 2010 bwana gafaranga alianza urafiki na bwana karegeya huku akijifanya kuwa ni mmoja wa watu waliokuwa wakiupinga utawala wa kagame nchini rwanda. gafaranga alianza kumtembelea karegeya huko south africa na pia alishiriki kwa kikamilifu katika mikutano ya RNC ,chama ambacho mpaka leo kinapanga kuuangusha utawala wa kagame huko rwanda.

mara zote aliposafiri kwenda A.kusini kwa bwana karegeya huyu gafaranga alikuwa hatokei moja kwa moja nchini rwanda na pia mara zote amekuwa akitumia passport na document fake kwenda huko africa ya kusini. mwaka 2012 december ni huyu huyu bwana gafaranga alimshauri karegeya kuacha kutumia walinzi aliokuwa amepewa na serikali ya africa ya kusini chini ya wamvuli kuwa wanaweza kununulika na akauawa…na hivyo bwana karegeya alikubaliana na ushauri huo nakwenda katika mamlaka za SA na kutoa ombi lake hilo akisema sasa yuko makini na kila safari anayofanya ndani ya nchi hiyo na hivyo haitaji walinzi…mamlaka ya SA iliwaondoa walinzi.

mwezi wa wa nane mwaka jana bwana apollo gafaranga alimpigia simu karegeya na kumwambia kuwa serikali ya rwanda inamtishia uhai wake na tayati imefunga biashara zake hivyo anamuomba patrick karegeya amtengenezee mazingira ili nae akimbilie huko africka ya kusini na kuanza biashara huko…mda wote huo karegeya hakujua kuwa huyu bwana ana mission nyingine kabisa toka mwanzo wa urafiki wao

karegeya alianza maandalizi ya kumuandalia makazi bwana gafaranga…na tarehe 28 december bwana garafaranga aliwasiliana tena na kargeya na kuwambia kuwa amtafutie chumba katika hoteli na safari hii asingependa kufikia nyumbani kwa kargeya asije akahatarisha usalama wake maana nae anafatiliwa na serikali ya rwanda kwa hiyo anapenda kufikia hotelini ambako atakuwa salama zaidi.

karegeya alikod chumba namba 905 katika hotel ya sandton hapo jo’burg na tarehe 29 bwana gafaranga akafika SA na ni karegeya aliyempokea kwenye uwanja wa oliver tambo na kuelekea moja kwa moja hotelin amabako karegeya alimuacha mgeni wake kwa makubaliano kuwa wakutane tarehe 31 ili kuendelea na mipango yao ya namna ya kuiangusha serikali ya kagame lakini pia namna anavyoweza kuanzisha makazi yake na biashar zake huko africa ya kusini maana serikali ya rwanda inamtishia maisha.

tarehe 31 karegeya akaenda moja kwa moja katika hotel hiyo kumuona mshirika wake na rafiki yake na alipofika na kuingia ndani karegeya alifunga mlango na kuweka alama inayoonyesha ”do not disturb” pale mlangoni..

wakati karegeya anaiangia ndani ya chumba cha hotel ile mle ndan ya chumba palikuwa na jumla ya watu watatu maana yake kuna wawili waliongezeka na wote hawa wanatoka kwenye kikosi kazi cha ”escadron de la mort” hawa wawili walikuwa wamejificha bafuni wakati karegeya akiingia…

walimnyonga na kumpiga risasi bwana karegeya na walipohakikisha amekufa wakaubeba mwili na kuuweka kitandani na kuufunika shuka kuanzia shingoni hadi miguuni…

baadaya mauaji hayo escadron de la mort waliondoka pasipo kujulikana na kutokomea nje ya south africa wakipitia mozambique

huo ndo ukawamwisho wa patrick karegeya…


Hutaki, Unaacha!


” kabla ya mtu kulikuwa na mtu na baada ya mtu kuna mtu”
 
mbona umerudia taarifa mkuu,imewahi kutolewa humu jamvini
 
Hii movie imekaa vizuri naitamani copy yake
 
aisee huyu bwana kagamae ni hataree
nae atakuja kufa kifo kibaya sana.
hata afya yake inaonekana hairidhishi.
huwezi kuua mtu damu yake ikakuacha salama.
 
You sound like a deep cover agent of "escadron de la mort"!!
 
Hao jamaa si ndo walikamatwa Mozambique na kurudishwa SA?
 
Naomba nikuulize; adhabu ya kosa la uhaini ni nini hapa Tanzania na duniani kote? let's not be naive.
 
Last edited by a moderator:
Hii kali sasa, kama hao matusi yaliingia SA yatashindwaje kuingia Bongo?
 
Hebu tuletee ya Bilali, Mkusya, Sengondo live bila chenga.
Ni addict wa detective horror movies.

Huwa nauvaa uhusika, najiona willy gamba, naishia kutafuna vidole vyangu wakati natupia pop corn.
 
Apollo gafaranga ndiye aliyetekeleza mauaji ya patrick karegeya huko jo'burg..huyu apollo ni mmoja wa wafanya biashara wakubwa hapo rwanda akiwa na sophisticated thietre maeneo ya nyamirambo ambapo sasa ni maarufu kwa jina la cine star cinema …ujenzi wa kituo hicho uligharim dola million moja na siku ya ufunguzi mwaka 2009 aliyefungua ni bwana paul kagame mwenyewe

nyuma ya paziwa bwana apollo gafaranga alikuwa trained spy na pia assassin wa hali ya juu sana na wakati huyu patrick karegeya akiwa masterspy miaka hiyo huyu gafaranga alikuwa ni mmoja wa ma infomer wake.

baada ya patrick karegeya kukimbia na kwenda kuishi uhamishoni nchini A.kusin, kule rwanda kuna kikundi kilichoundwa na bwana kagame kijulikanacho kama "escadron de la mort" huyu apollo gafaranga laikuwa ni mmoja wa wana kikundi hao ambapo lengo kubwa la kikundi hiki ni kutafuta wale wote walio kinyume na utawala wa rwanda na kuwamaliza.

baada ya kuingizwa katika kikundi hiki bwanda gafaranga alipewa mafunzo ya hali ya juu ya namna ya kutekelekza mauaji bila kujulikana na target yake kuwa ilikuwa ni huyu karegeya….

baada ya mafunzo kukamilika na biashara hiyo kuwa imefunguliwa kama "cover story" machoni pa macho ya watu wa kawaida. mwaka 2010 bwana gafaranga alianza urafiki na bwana karegeya huku akijifanya kuwa ni mmoja wa watu waliokuwa wakiupinga utawala wa kagame nchini rwanda. gafaranga alianza kumtembelea karegeya huko south africa na pia alishiriki kwa kikamilifu katika mikutano ya RNC ,chama ambacho mpaka leo kinapanga kuuangusha utawala wa kagame huko rwanda.

mara zote aliposafiri kwenda A.kusini kwa bwana karegeya huyu gafaranga alikuwa hatokei moja kwa moja nchini rwanda na pia mara zote amekuwa akitumia passport na document fake kwenda huko africa ya kusini. mwaka 2012 december ni huyu huyu bwana gafaranga alimshauri karegeya kuacha kutumia walinzi aliokuwa amepewa na serikali ya africa ya kusini chini ya wamvuli kuwa wanaweza kununulika na akauawa…na hivyo bwana karegeya alikubaliana na ushauri huo nakwenda katika mamlaka za SA na kutoa ombi lake hilo akisema sasa yuko makini na kila safari anayofanya ndani ya nchi hiyo na hivyo haitaji walinzi…mamlaka ya SA iliwaondoa walinzi.

mwezi wa wa nane mwaka jana bwana apollo gafaranga alimpigia simu karegeya na kumwambia kuwa serikali ya rwanda inamtishia uhai wake na tayati imefunga biashara zake hivyo anamuomba patrick karegeya amtengenezee mazingira ili nae akimbilie huko africka ya kusini na kuanza biashara huko…mda wote huo karegeya hakujua kuwa huyu bwana ana mission nyingine kabisa toka mwanzo wa urafiki wao

karegeya alianza maandalizi ya kumuandalia makazi bwana gafaranga…na tarehe 28 december bwana garafaranga aliwasiliana tena na kargeya na kuwambia kuwa amtafutie chumba katika hoteli na safari hii asingependa kufikia nyumbani kwa kargeya asije akahatarisha usalama wake maana nae anafatiliwa na serikali ya rwanda kwa hiyo anapenda kufikia hotelini ambako atakuwa salama zaidi.

karegeya alikod chumba namba 905 katika hotel ya sandton hapo jo'burg na tarehe 29 bwana gafaranga akafika SA na ni karegeya aliyempokea kwenye uwanja wa oliver tambo na kuelekea moja kwa moja hotelin amabako karegeya alimuacha mgeni wake kwa makubaliano kuwa wakutane tarehe 31 ili kuendelea na mipango yao ya namna ya kuiangusha serikali ya kagame lakini pia namna anavyoweza kuanzisha makazi yake na biashar zake huko africa ya kusini maana serikali ya rwanda inamtishia maisha.

tarehe 31 karegeya akaenda moja kwa moja katika hotel hiyo kumuona mshirika wake na rafiki yake na alipofika na kuingia ndani karegeya alifunga mlango na kuweka alama inayoonyesha "do not disturb" pale mlangoni..

wakati karegeya anaiangia ndani ya chumba cha hotel ile mle ndan ya chumba palikuwa na jumla ya watu watatu maana yake kuna wawili waliongezeka na wote hawa wanatoka kwenye kikosi kazi cha "escadron de la mort" hawa wawili walikuwa wamejificha bafuni wakati karegeya akiingia…

walimnyonga na kumpiga risasi bwana karegeya na walipohakikisha amekufa wakaubeba mwili na kuuweka kitandani na kuufunika shuka kuanzia shingoni hadi miguuni…

baadaya mauaji hayo escadron de la mort waliondoka pasipo kujulikana na kutokomea nje ya south africa wakipitia mozambique

huo ndo ukawamwisho wa patrick karegeya…


Hutaki, Unaacha!


" kabla ya mtu kulikuwa na mtu na baada ya mtu kuna mtu"

Unajiita jason bourne? this is old and discarded news...try again booy
 
hii kitu siku za mwanzo kabisa wa kifo cha hyu bwana niliisoma mahali ikiwa imeletwa humu na de'levis....sasa wewe leo unairudia tena bila kucredit source ....
 
Last edited by a moderator:
paul-kagame.jpgDikiteta Kagame ni zaidi ya tunavyomfahamu mikono yake imejaa damu,inasemekana hata bosi wake Rwigema alimmaliza yeye.
Kagame anausishwa moja kwa moja katika kupanga nakutekeleza utunguaji wa ndege ya rais wa zamani Habyalimana.
Huyu ni rais asiyestahimili wala kuvumilia mawazo mbadala,mara kwa mara amejitahidi kuwanyamazisha wapinzani wake wa kisiasa aidha kwa kuwaua au kuwafungulia kesi za kusadikika halafu kuwafunga.
Huko Sweden Mrundi Emmanuel Habiyambere anatumikia kifungo kwa kosa lakuwafanyia upelelezi wakimbizi wa Rwanda ambao wako huko kwa niaba ya Kagame.
Mjini Kampala mwaka jana aliyekuwa mlinzi wa Kagame Luteni Joel Mutabazi alitekwa nyara nakurudishwa Rwanda na makomandoo wa Rwanda wakishirikiana na baadhi ya polisi wa Uganda, japokuwa huyu bwana alikuwa na hadhi ya ukimbizi wa kisiasa.
Pamoja na Mutabazi Wanyarwanda wengi wamepotea katika mazingira ya sintofahamu nchini Uganda.
Huko huko Afrika ya Kusini Luteni Generali Faustin Kayumba Nyamwasa ambaye aliwahi kuwa Mnadhimu Mkuu wa jeshi la Rwanda na balozi wa Rwanda nchini India kabla ya kutofutiana na Kagame nakukimbilia Afrika ya Kusini mwaka 2010 alinusurika kifo baada ya kumiminiwa risasi na makomandoo wa Kagame.
Mpinzani wake wa kisiasa msomi Victorie Igabire yuko jela,alizushiwa misengwe nakubambikiwa kesi baada yakuonekana nitishio kwenye kinyanganyiro cha uraisi,kwa kuungwa mkono na wahutu wenzie ambao ni wengi nchini Rwanda tofauti na watutsi wachache ambalo ni kabila la Kagame,huyo ndiye dikiteta akiwa kazini.
 
adhabu hiyo imetajwa katika section 39 of the penal code cap 16 ambayo inatoa adhabu ya kifo kwa makosa mawili tu ambayo ni
a)treason(uhaini)
b)murder(uuaji wa kukusudia) not manslaughter
section 39 of the PENAL CODE provides that
39.-(1) Any person who, being under allegiance to the United
Republic–
(a) in the United Republic or elsewhere, murders or attempts to
murder the President; or
(b) in the United Republic, levies war against the United
Republic,
commits an offence of treason and shall be liable on conviction to suffer
death.
(2) Any person who, being under allegiance to the United
Republic, in the United Republic or elsewhere, forms an intention to
effect or to cause to be effected, or forms an intention to instigate,
persuade, counsel or advise any person or group of person to effect or to
cause to be effected, any of the following acts, deeds or purposes, that is
to say–
(a) the death, maiming or wounding, or the imprisonment or
restraint, of the President;
(b) the deposing by unlawful means of the President from his
position as President or from the style, honour and name of
Head of State and Commander-in-Chief of the Defence
Forces of the United Republic;




adhabu ya uhaini ni KIFO and it provided in the PENAL CODE CAP 16 but section nimesahau
 
Back
Top Bottom