Ripoti ya Uchunguzi wa Maabara: Mashine moja ilikuwa na hitilafu. Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya iliyopo Mabibo

Ripoti ya Uchunguzi wa Maabara: Mashine moja ilikuwa na hitilafu. Upimaji wa COVID19 umehamishiwa katika Maabara mpya iliyopo Mabibo

Amesema "Mojawapo ya Mashine za kupima sampuli za Covid-19 ilikua na hitilafu bila Uongozi wa Maabara kuchukua hatua za kuifanyia matengenezo kwa wakati"
😂😂 Kwahiyo vipimo vilivyopatikana katika zile sampuli za mafenesi, mbuzi na papai sio za kweli?? Kumbe inawezekana hata waliopona hawajapona??
 
Hatukutegemea majibu tofauti na haya , mnataka ku-justify kusimamishwa kwa mrembo dkt Moremi, haya mfukuzeni kazi leo hii aende akuze matembele kama mbunge LIJULIKALI
 
Back
Top Bottom