guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahahaKuvaa barakoa na kuosha mikono ni lazima tunawaachia Uhuru kwenye kuvaa kondomu tu.
Duh...! Umechelewa sana kuamini. Ndivyo ilivyokuwa.Naanza kuamini kuwa katika ile hafla viongozi (akiwemo Mh Waziri Ummy) kuwa walihamrishwa kuvua barakoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ndondocha wa Makete ana ubaya gani?we badala ya kujikita kwenye mada unaleta ujinga utadhani ndondocha wa Makete
Mkulu hataki hayo mananii ya kufunika pua na mdomo. Hukumbuki hotuba yake kanisani Chato. Waumini wote na mchungaji walikuwa hawajavaa barakoa, Jiwe akasema, nyie nawasifu hamna hofu na ndiyo maana hamjavaa yale mananii ya kufunika pua na mdomo. Wakati anawaapisha mabalozi pia hakuna aliyevaa hayo mananii.Ummy Mwalimu mbona ukiwa kwenye mikusanyiko ya Ikulu huvai barakoa ila ukitoka nje kwenye public unavaa?
Kwahiyo vipimo ni kwa madereva tu mkuu? lengo ni kutimiza matakwa ya nchi jirani bila shaka maana raia wote tupo kwenye risk ya maambukizi pia (nawaza kwa sauti sio kama napinga hoja yako)magari yaliyo mengi yanayoenda nchi za jirani yanaanzia dar kwa kuwa bandari ndo ipo hapo.
pia hata magari yanayoanzia mikoa tofauti na dar itawalazimu madereva waende kupata vipimo dar kisha waendelee na safari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule hakuvaa sababu ya Boss wake hakuvaa.
vipimo sio kwa madereva pekee.kila mkoa kuna vituo ambavyo vinaratibu haya mambo.ukihisi una corona unasogea kituo kilichopo kwenye mkoa wakoKwahiyo vipimo ni kwa madereva tu mkuu? lengo ni kutimiza matakwa ya nchi jirani bila shaka maana raia wote tupo kwenye risk ya maambukizi pia (nawaza kwa sauti sio kama napinga hoja yako)
Hahhahaa ila wewe ndugu una shida mahali.Nimepata taarifa kuwa jiji la Dar limeshambuliwa sana na Corona baada ya watu kupuuzia hatua za kujikinga. Mambo yamevurugika kabisa.
wacha kupotosha si maabara ya Dar tu ndo inaweza kupima! Muache upuuzi wa kujiandikia wakati maelezo yapo online KCMC pia Mount Meru hospital watapima!magari yaliyo mengi yanayoenda nchi za jirani yanaanzia dar kwa kuwa bandari ndo ipo hapo.
pia hata magari yanayoanzia mikoa tofauti na dar itawalazimu madereva waende kupata vipimo dar kisha waendelee na safari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo imeanza kazi tayari siyo?Ulitaka wavae nini Mkuu
kwani kuna tatizo na uvaaji eneo hilo kumbuka tu hapo ni maabara ya upimaji magonjwa mbalimbali uwe na huruma basi kwa watanzania wenzako
usinipangie simu ni yangu na mbs ni zangu.achana na mimi,wacha kupotosha si maabara ya Dar tu ndo inaweza kupima! Muache upuuzi wa kujiandikia wakati maelezo yapo online KCMC pia Mount Meru hospital watapima!