Risasi za Lissu na majasusi wa Urusi nchini Montenegro

Risasi za Lissu na majasusi wa Urusi nchini Montenegro

AUGUSTINO CHIWINGA

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
220
Reaction score
689
RISASI ZA LISSU NA MAJASUSI WA URUSI NCHINI MONTENEGRO.

Na
Augustino Chiwinga

Usiku wa tarehe 16 October 2016 katika Jiji la Podgorica nchini Montenegro kulitokea jaribo la kimapinduzi ambalo pia lililenga kumuua Waziri mkuu wa wakati huo aitwaye Milo Dukanovic.

Kundi la washambuliaj waliojihami kwa silaha kali za kisasa na za kivita walivamia jengo la Bunge la nchi hiyo kwa nia ya kumuua Waziri mkuu ili kusababisha ghasia na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

Ikumbukwe ya kwamba siku ya kesho yake yaani tarehe 17 October Serbia ilikua ifanye uchaguzi wake mkuu hivyo washambuliaji walijua kutokana hali ya mambo ilivyokua ni wazi baada ya kumuua Waziri mkuu huyo nchi isingekalika ,pangezuka machafuko ambaye yangepelekea kufanyika mapinduzi ya kijeshi nchin humo.

Lakini kwa bahati nzuri mpango huo uligundulika mapema na makachero na hali ya usalama ilidhibitiwa.
Baadae taarifa za kiintelijensia zikaja kutoka kwamba mipango yote hiyo iliratibiwa ns Serikali ya Urusi .

Urusi ilifanya hivyo ili kuizuia nchi hiyo ya Montenegro kujiunga na umoja wa kujihami wa NATO.
Urusi ilikua inahofia kama Montenegro ingeanikiwa kujiunga na umoja huo na kuwa mwanachama wa 29 wa NATO,basi ingepoteza udhibiti wake katika Bahati ya Adriatic, pia ingeipungizia nguvu na ushawishi katia nchi za Balkans kama vile Serbia.

Hivyo basi Serikali ya Urusi ikawatuma majasusi wake wawili mahiri kabisa Eduard Shishamkov pamoja na Vladimir Popov kwenda mpaka nchini Montenegro kupanga njama za kumuua Waziri mkuu wa Montenegro hali ambayo ingezua taharuki na machafuko ambayo yangepekekea Serikali kupinduliwa na mpango wa Montenegro kujiunga na NATO ungeishia hapo.

Nimeanza story hiyo ili kuwaeleza watanzania kwamba yanapotokea matukio kama yaliyomtokeaTundu haifai kulipuka n kuanza kunyoosheana vidole.
Inahitaji utulivu na kutafakari kwa kina bila ya mihemko au mizuka.

Tukae tukijua kwamba zamani enzi za ukoloni wazungu walitumia mbinu mbalimbali za kututawala na kutuibia mali zetu kama "Divide and Rule."

Lakini sasa hivi wamebadilisha wamekuja na mbinu mpya iitwayo "make them fight and plunder their wealth."
Nani asiyejua kilichotokea Angola ,au kinachotokea Congo.?

Mzungu katia fitna wakapigana wenyewe kwa wenyewe kisha yeye akaanza kukomba madini, mafuta na mali nyinginezo.
Naona kuna kila hali ya kututaka kutufarakanisha watanzania ili waweze kuiba kirahisi mali zetu kirahisi.
Vita ya kiuchumi aliyoianza Mh .Rais Magufuli imezikasirisha nchi za mabepari waliozoea kutuibia kupitia mikata mibovu waliyoingia kwa hila na baadhi ya wenzetu wasiokuwa wazalendo.

Sasa wamekuja na mkakati Mpya wa kutuchonganisha.Shime watanzania tushikamane tuwe kitu kimoja ili zile fitna walizozifanya Libya, Iraq na nchi nyinginezo zisifanikiwe.
Tukikubali kuzifuata fitna zao basi tujue tumekwisha.

Wazungu wanahitaji mafuta yetu gesi yetu Almasi yetu Tanzanite zetu na dhahabu zetu.Watatumia kila mbinu ili wazipate kirahisi , bila shaka wametishika na mwelekeo Mpya wa Serikali ya awamu ya 5 juu ya kulinda na kutetea raslimali hizi kwa maslahi mapana ya Taifa letu .
Narudia tena shambulio la Lissu lenye lengo la kutugombanisha watanzania tuliozoea kuishi kwa amani na udugu.
Tuwe watulivu watanzania , tusikubali kuingia katika mitego ya mabepari na wanyonyaji.

MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MBARIKI MAGUFULI NA MUNGU MPONYE LISSU KWA HARAKA AREJEE NYUMBA SALAMA SALMIN.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeanza vzr lkn ukamalizia kama **** flan hv....
Wewe ni nan kupinga kauli ya mkuu wa nchi!!??
Pogba alishasema kwny coccus ya wabunge wa chama chake "ni marufuku kushirikiana na wapinzan" hii ilimaanisha kama taifa hatuko pamoja na kama kutatokea utengano kat yetu kama bado haujatokea tusihangaike kutafuta mchawi sijui wazungu mara vita ya kiuchumi na blahblah nyingne mchawi wetu tunaye kat yetu
 
Mfano wako hauendani na mazingira ya kwetu. Kwanza mlolongo wa matukio kadhaa yamezalisha tukio la Jana. Tena hadi kuripotiwa kuwa mtu anafuatiliwa. Naamini wangekuwa foreigners wangedhibitiwa kitambo. Kwa hiyo, nakataa kusema hiyo ni kazi ya foreigners.
 
Uongo kamahuu hauwezi kufanikiwa wala kukubalika karne hii, wazungu ndio wanapiga stop mikutano halali na ya kisheria ya kisiasa?? Wazungu ndio wanatulazimisha kusaini mikataba mibovu na kuivunja kinyume cha mikataba na sheria?? Wazungu ndio kila siku wanakamata wapinzani na kuwatia ndani kila kukicha?? Je ni mara ngapi umeona Noah ya mzungu ikiteka watu??
Waafrika mmelaaniwa maovu, ujinga na upumbavu wenu mnataka kujificha kwenye kivuli cha wakoloni ambao hawapo, na kama wapo basi ni wakoloni weusi
Tuondolee utumbo wako hapa.
RISASI ZA LISSU NA MAJASUSI WA URUSI NCHINI MONTENEGRO.

Na
Augustino Chiwinga

Usiku wa tarehe 16 October 2016 katika Jiji la Podgorica nchini Montenegro kulitokea jaribo la kimapinduzi ambalo pia lililenga kumuua Waziri mkuu wa wakati huo aitwaye Milo Dukanovic.

Kundi la washambuliaj waliojihami kwa silaha kali za kisasa na za kivita walivamia jengo la Bunge la nchi hiyo kwa nia ya kumuua Waziri mkuu ili kusababisha ghasia na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

Ikumbukwe ya kwamba siku ya kesho yake yaani tarehe 17 October Serbia ilikua ifanye uchaguzi wake mkuu hivyo washambuliaji walijua kutokana hali ya mambo ilivyokua ni wazi baada ya kumuua Waziri mkuu huyo nchi isingekalika ,pangezuka machafuko ambaye yangepelekea kufanyika mapinduzi ya kijeshi nchin humo.

Lakini kwa bahati nzuri mpango huo uligundulika mapema na makachero na hali ya usalama ilidhibitiwa.
Baadae taarifa za kiintelijensia zikaja kutoka kwamba mipango yote hiyo iliratibiwa ns Serikali ya Urusi .

Urusi ilifanya hivyo ili kuizuia nchi hiyo ya Montenegro kujiunga na umoja wa kujihami wa NATO.
Urusi ilikua inahofia kama Montenegro ingeanikiwa kujiunga na umoja huo na kuwa mwanachama wa 29 wa NATO,basi ingepoteza udhibiti wake katika Bahati ya Adriatic, pia ingeipungizia nguvu na ushawishi katia nchi za Balkans kama vile Serbia.

Hivyo basi Serikali ya Urusi ikawatuma majasusi wake wawili mahiri kabisa Eduard Shishamkov pamoja na Vladimir Popov kwenda mpaka nchini Montenegro kupanga njama za kumuua Waziri mkuu wa Montenegro hali ambayo ingezua taharuki na machafuko ambayo yangepekekea Serikali kupinduliwa na mpango wa Montenegro kujiunga na NATO ungeishia hapo.

Nimeanza story hiyo ili kuwaeleza watanzania kwamba yanapotokea matukio kama yaliyomtokeaTundu haifai kulipuka n kuanza kunyoosheana vidole.
Inahitaji utulivu na kutafakari kwa kina bila ya mihemko au mizuka.

Tukae tukijua kwamba zamani enzi za ukoloni wazungu walitumia mbinu mbalimbali za kututawala na kutuibia mali zetu kama "Divide and Rule."

Lakini sasa hivi wamebadilisha wamekuja na mbinu mpya iitwayo "make them fight and plunder their wealth."
Nani asiyejua kilichotokea Angola ,au kinachotokea Congo.?

Mzungu katia fitna wakapigana wenyewe kwa wenyewe kisha yeye akaanza kukomba madini, mafuta na mali nyinginezo.
Naona kuna kila hali ya kututaka kutufarakanisha watanzania ili waweze kuiba kirahisi mali zetu kirahisi.
Vita ya kiuchumi aliyoianza Mh .Rais Magufuli imezikasirisha nchi za mabepari waliozoea kutuibia kupitia mikata mibovu waliyoingia kwa hila na baadhi ya wenzetu wasiokuwa wazalendo.

Sasa wamekuja na mkakati Mpya wa kutuchonganisha.Shime watanzania tushikamane tuwe kitu kimoja ili zile fitna walizozifanya Libya, Iraq na nchi nyinginezo zisifanikiwe.
Tukikubali kuzifuata fitna zao basi tujue tumekwisha.

Wazungu wanahitaji mafuta yetu gesi yetu Almasi yetu Tanzanite zetu na dhahabu zetu.Watatumia kila mbinu ili wazipate kirahisi , bila shaka wametishika na mwelekeo Mpya wa Serikali ya awamu ya 5 juu ya kulinda na kutetea raslimali hizi kwa maslahi mapana ya Taifa letu .
Narudia tena shambulio la Lissu lenye lengo la kutugombanisha watanzania tuliozoea kuishi kwa amani na udugu.
Tuwe watulivu watanzania , tusikubali kuingia katika mitego ya mabepari na wanyonyaji.

MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MBARIKI MAGUFULI NA MUNGU MPONYE LISSU KWA HARAKA AREJEE NYUMBA SALAMA SALMIN.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
79acbe4561d624036c458c912af6d623.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiku wa tarehe 16 October 2016 katika Jiji la Podgorica nchini Montenegro kulitokea jaribo la kimapinduzi ambalo pia lililenga kumuua Waziri mkuu wa wakati huo aitwaye Milo Dukanovic.
Kundi la washambuliaj waliojihami kwa silaha kali za kisasa na za kivita walivamia jengo la Bunge la nchi hiyo kwa nia ya kumuua Waziri mkuu ili kusababisha ghasia na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
Ikumbukwe ya kwamba siku ya kesho yake yaani tarehe 17 October Serbia ilikua ifanye uchaguzi wake mkuu hivyo washambuliaji walijua kutokana hali ya mambo ilivyokua ni wazi baada ya kumuua Waziri mkuu huyo nchi isingekalika ,pangezuka machafuko ambaye yangepelekea kufanyika mapinduzi ya kijeshi nchin humo.
Lakini kwa bahati nzuri mpango huo uligundulika mapema na makachero na hali ya usalama ilidhibitiwa.
Baadae taarifa za kiintelijensia zikaja kutoka kwamba mipango yote hiyo iliratibiwa ns Serikali ya Urusi .
Urusi ilifanya hivyo ili kuizuia nchi hiyo ya Montenegro kujiunga na umoja wa kujihami wa NATO.
Urusi ilikua inahofia kama Montenegro ingeanikiwa kujiunga na umoja huo na kuwa mwanachama wa 29 wa NATO,basi ingepoteza udhibiti wake katika Bahati ya Adriatic, pia ingeipungizia nguvu na ushawishi katia nchi za Balkans kama vile Serbia.
Hivyo basi Serikali ya Urusi ikawatuma majasusi wake wawili mahiri kabisa Eduard Shishamkov pamoja na Vladimir Popov kwenda mpaka nchini Montenegro kupanga njama za kumuua Waziri mkuu wa Montenegro hali ambayo ingezua taharuki na machafuko ambayo yangepekekea Serikali kupinduliwa na mpango wa Montenegro kujiunga na NATO ungeishia hapo.
Nimeanza story hiyo ili kuwaeleza watanzania kwamba yanapotokea matukio kama yaliyomtokeaTundu haifai kulipuka n kuanza kunyoosheana vidole.
Inahitaji utulivu na kutafakari kwa kina bila ya mihemko au mizuka.
Tukae tukijua kwamba zamani enzi za ukoloni wazungu walitumia mbinu mbalimbali za kututawala na kutuibia mali zetu kama "Divide and Rule."
Lakini sasa hivi wamebadilisha wamekuja na mbinu mpya iitwayo "make them fight and plunder their wealth."
Nani asiyejua kilichotokea Angola ,au kinachotokea Congo.?
Mzungu katia fitna wakapigana wenyewe kwa wenyewe kisha yeye akaanza kukomba madini, mafuta na mali nyinginezo.
Naona kuna kila hali ya kututaka kutufarakanisha watanzania ili waweze kuiba kirahisi mali zetu kirahisi.
Vita ya kiuchumi aliyoianza Mh .Rais Magufuli imezikasirisha nchi za mabepari waliozoea kutuibia kupitia mikata mibovu waliyoingia kwa hila na baadhi ya wenzetu wasiokuwa wazalendo.
Sasa wamekuja na mkakati Mpya wa kutuchonganisha.Shime watanzania tushikamane tuwe kitu kimoja ili zile fitna walizozifanya Libya, Iraq na nchi nyinginezo zisifanikiwe.
Tukikubali kuzifuata fitna zao basi tujue tumekwisha.
Wazungu wanahitaji mafuta yetu gesi yetu Almasi yetu Tanzanite zetu na dhahabu zetu.Watatumia kila mbinu ili wazipate kirahisi , bila shaka wametishika na mwelekeo Mpya wa Serikali ya awamu ya 5 juu ya kulinda na kutetea raslimali hizi kwa maslahi mapana ya Taifa letu .
Narudia tena shambulio la Lissu lenye lengo la kutugombanisha watanzania tuliozoea kuishi kwa amani na udugu.
Tuwe watulivu watanzania , tusikubali kuingia katika mitego ya mabepari na wanyonyaji.
MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MBARIKI MAGUFULI NA MUNGU MPONYE LISSU KWA HARAKA AREJEE NYUMBA SALAMA SALMIN
 
Umeanza vizuri sana ila ukamalizia vibaya. Mbona hukutiririka ukatuonesha watu ambao wanajitahidi kwa kila mbinu kuiharibu amani na mshikamano wa taifa hili?? Wako waliojiapiza kuwa hawatashirikiana na wapinzani. Maana yake ni nini?? Watu mmeamua kula wenyewe keki ya taifa hamtaki mshiriki na mtu mwingine yeyote na akikaribia mnafanya kila mbinu afwe tu. Mmeweza kumuokota aliyekataa mwenyewe kuongoza chama chake cha upinzani akidhani ndio kitakufa. Badala yake ndio kikafanya mara mbili zaidi vizuri kuliko alipokuwa kiongozi. Mmemsimika kuwa bado kiongozi, mnamtumia kukiharibu kabisa kabisa chama kwa mbinu mbovu kabisa hata kipofu anaziona kuwa chafu. Sasa mmeanza kuwadhibiti wanenaji wapiga debe wa upinzani haswa wale ambao sio waoga. Alipoingia mjengoni tu, akawaumbua kwa mikataba yenu ya kiajabuajabu.
Naomba tu uutoe huu uozo wako hapa. Hata kipofu anajua ni nani amekuwa jasusi letu. Wapunguzeni tu huenda wakabaki wale kina ndio mzee siku si nyingi
 
Mzungu unaemsema yupo hapahapa na ndio aliyepitisha uuuzwaji wa madini kwa kura za kishindo. Kura za ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo, alafu useme mzungu, pambafuuuu nnfyuuuuuu.
 
We chizi kweli,,umeangalia hayo matundu ya risasi kwenye mlango wa gari? Mzungu gani atamtuma tu akafanye kazi ya kizembe kama hiyo?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Yule aliyemtolea Nape Bastol nae alitumwa na wazungu sio ?
Wazungu walishamtumia sana Lissu. Wanaweza kabisa kumuua kwa sababu wanajua ni hot target. Mh. Nape na yeye unaweza kuta aliandaa ili ionekane serikali inahusika. Usiwe mjinga mjinga
 
Tushafarakana kutokana na utawala 5 unataka tufarakane mara ngapa

Lumumba mtakuja na theory zote ila sisi wananchi tunajua mbaya wetu ni nani
 
Toka zako huko wewe, yule mkubwa wa wasiojulikana aliyemtuma Bashite kuvamia jumba la manewz halafu akamfagilia halafu akamwambia DJ wa jumba la katikati awafukuze 'waropokaji' ili wakija nje 'awashughulikie' na hakumlaani mmoja wa wasiojulikana alipomuonesha manati ya chuma chinga. Unatuaminisha vipi sio yeye!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakukumbusha kuna mtu KIONGOZ MKUBWA alipewa almas ya USD MIL 200.
Je ni MZUNGU?
Kamat imesema sio mie,usije ukanitolea [emoji379]

May Allah bless Me and You
 
Back
Top Bottom