Risasi za Lissu na majasusi wa Urusi nchini Montenegro

Risasi za Lissu na majasusi wa Urusi nchini Montenegro

RISASI ZA LISSU NA MAJASUSI WA URUSI NCHINI MONTENEGRO.

Na
Augustino Chiwinga

Usiku wa tarehe 16 October 2016 katika Jiji la Podgorica nchini Montenegro kulitokea jaribo la kimapinduzi ambalo pia lililenga kumuua Waziri mkuu wa wakati huo aitwaye Milo Dukanovic.

Kundi la washambuliaj waliojihami kwa silaha kali za kisasa na za kivita walivamia jengo la Bunge la nchi hiyo kwa nia ya kumuua Waziri mkuu ili kusababisha ghasia na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

Ikumbukwe ya kwamba siku ya kesho yake yaani tarehe 17 October Serbia ilikua ifanye uchaguzi wake mkuu hivyo washambuliaji walijua kutokana hali ya mambo ilivyokua ni wazi baada ya kumuua Waziri mkuu huyo nchi isingekalika ,pangezuka machafuko ambaye yangepelekea kufanyika mapinduzi ya kijeshi nchin humo.

Lakini kwa bahati nzuri mpango huo uligundulika mapema na makachero na hali ya usalama ilidhibitiwa.
Baadae taarifa za kiintelijensia zikaja kutoka kwamba mipango yote hiyo iliratibiwa ns Serikali ya Urusi .

Urusi ilifanya hivyo ili kuizuia nchi hiyo ya Montenegro kujiunga na umoja wa kujihami wa NATO.
Urusi ilikua inahofia kama Montenegro ingeanikiwa kujiunga na umoja huo na kuwa mwanachama wa 29 wa NATO,basi ingepoteza udhibiti wake katika Bahati ya Adriatic, pia ingeipungizia nguvu na ushawishi katia nchi za Balkans kama vile Serbia.

Hivyo basi Serikali ya Urusi ikawatuma majasusi wake wawili mahiri kabisa Eduard Shishamkov pamoja na Vladimir Popov kwenda mpaka nchini Montenegro kupanga njama za kumuua Waziri mkuu wa Montenegro hali ambayo ingezua taharuki na machafuko ambayo yangepekekea Serikali kupinduliwa na mpango wa Montenegro kujiunga na NATO ungeishia hapo.

Nimeanza story hiyo ili kuwaeleza watanzania kwamba yanapotokea matukio kama yaliyomtokeaTundu haifai kulipuka n kuanza kunyoosheana vidole.
Inahitaji utulivu na kutafakari kwa kina bila ya mihemko au mizuka.

Tukae tukijua kwamba zamani enzi za ukoloni wazungu walitumia mbinu mbalimbali za kututawala na kutuibia mali zetu kama "Divide and Rule."

Lakini sasa hivi wamebadilisha wamekuja na mbinu mpya iitwayo "make them fight and plunder their wealth."
Nani asiyejua kilichotokea Angola ,au kinachotokea Congo.?

Mzungu katia fitna wakapigana wenyewe kwa wenyewe kisha yeye akaanza kukomba madini, mafuta na mali nyinginezo.
Naona kuna kila hali ya kututaka kutufarakanisha watanzania ili waweze kuiba kirahisi mali zetu kirahisi.
Vita ya kiuchumi aliyoianza Mh .Rais Magufuli imezikasirisha nchi za mabepari waliozoea kutuibia kupitia mikata mibovu waliyoingia kwa hila na baadhi ya wenzetu wasiokuwa wazalendo.

Sasa wamekuja na mkakati Mpya wa kutuchonganisha.Shime watanzania tushikamane tuwe kitu kimoja ili zile fitna walizozifanya Libya, Iraq na nchi nyinginezo zisifanikiwe.
Tukikubali kuzifuata fitna zao basi tujue tumekwisha.

Wazungu wanahitaji mafuta yetu gesi yetu Almasi yetu Tanzanite zetu na dhahabu zetu.Watatumia kila mbinu ili wazipate kirahisi , bila shaka wametishika na mwelekeo Mpya wa Serikali ya awamu ya 5 juu ya kulinda na kutetea raslimali hizi kwa maslahi mapana ya Taifa letu .
Narudia tena shambulio la Lissu lenye lengo la kutugombanisha watanzania tuliozoea kuishi kwa amani na udugu.
Tuwe watulivu watanzania , tusikubali kuingia katika mitego ya mabepari na wanyonyaji.

MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MBARIKI MAGUFULI NA MUNGU MPONYE LISSU KWA HARAKA AREJEE NYUMBA SALAMA SALMIN.

Sent using Jamii Forums mobile app





Tumekupata Mkuu, Wazungu wanambinu nyingi sana za kutumia kuchezesha mind za mwafrika asiye na self-relliance
 
Basi kama wazungu ndio wanafanya hivi, sisi kama Watanzania tuishi kwa amani ya kweli...tusibaguane,tusikilizane, na tukosoane....bila mipaka...tukifanya hivyo watakosa namna,watashindwa kutugombanisha.
 
RISASI ZA LISSU NA MAJASUSI WA URUSI NCHINI MONTENEGRO.

Na
Augustino Chiwinga

Usiku wa tarehe 16 October 2016 katika Jiji la Podgorica nchini Montenegro kulitokea jaribo la kimapinduzi ambalo pia lililenga kumuua Waziri mkuu wa wakati huo aitwaye Milo Dukanovic.

Kundi la washambuliaj waliojihami kwa silaha kali za kisasa na za kivita walivamia jengo la Bunge la nchi hiyo kwa nia ya kumuua Waziri mkuu ili kusababisha ghasia na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

Ikumbukwe ya kwamba siku ya kesho yake yaani tarehe 17 October Serbia ilikua ifanye uchaguzi wake mkuu hivyo washambuliaji walijua kutokana hali ya mambo ilivyokua ni wazi baada ya kumuua Waziri mkuu huyo nchi isingekalika ,pangezuka machafuko ambaye yangepelekea kufanyika mapinduzi ya kijeshi nchin humo.

Lakini kwa bahati nzuri mpango huo uligundulika mapema na makachero na hali ya usalama ilidhibitiwa.
Baadae taarifa za kiintelijensia zikaja kutoka kwamba mipango yote hiyo iliratibiwa ns Serikali ya Urusi .

Urusi ilifanya hivyo ili kuizuia nchi hiyo ya Montenegro kujiunga na umoja wa kujihami wa NATO.
Urusi ilikua inahofia kama Montenegro ingeanikiwa kujiunga na umoja huo na kuwa mwanachama wa 29 wa NATO,basi ingepoteza udhibiti wake katika Bahati ya Adriatic, pia ingeipungizia nguvu na ushawishi katia nchi za Balkans kama vile Serbia.

Hivyo basi Serikali ya Urusi ikawatuma majasusi wake wawili mahiri kabisa Eduard Shishamkov pamoja na Vladimir Popov kwenda mpaka nchini Montenegro kupanga njama za kumuua Waziri mkuu wa Montenegro hali ambayo ingezua taharuki na machafuko ambayo yangepekekea Serikali kupinduliwa na mpango wa Montenegro kujiunga na NATO ungeishia hapo.

Nimeanza story hiyo ili kuwaeleza watanzania kwamba yanapotokea matukio kama yaliyomtokeaTundu haifai kulipuka n kuanza kunyoosheana vidole.
Inahitaji utulivu na kutafakari kwa kina bila ya mihemko au mizuka.

Tukae tukijua kwamba zamani enzi za ukoloni wazungu walitumia mbinu mbalimbali za kututawala na kutuibia mali zetu kama "Divide and Rule."

Lakini sasa hivi wamebadilisha wamekuja na mbinu mpya iitwayo "make them fight and plunder their wealth."
Nani asiyejua kilichotokea Angola ,au kinachotokea Congo.?

Mzungu katia fitna wakapigana wenyewe kwa wenyewe kisha yeye akaanza kukomba madini, mafuta na mali nyinginezo.
Naona kuna kila hali ya kututaka kutufarakanisha watanzania ili waweze kuiba kirahisi mali zetu kirahisi.
Vita ya kiuchumi aliyoianza Mh .Rais Magufuli imezikasirisha nchi za mabepari waliozoea kutuibia kupitia mikata mibovu waliyoingia kwa hila na baadhi ya wenzetu wasiokuwa wazalendo.

Sasa wamekuja na mkakati Mpya wa kutuchonganisha.Shime watanzania tushikamane tuwe kitu kimoja ili zile fitna walizozifanya Libya, Iraq na nchi nyinginezo zisifanikiwe.
Tukikubali kuzifuata fitna zao basi tujue tumekwisha.

Wazungu wanahitaji mafuta yetu gesi yetu Almasi yetu Tanzanite zetu na dhahabu zetu.Watatumia kila mbinu ili wazipate kirahisi , bila shaka wametishika na mwelekeo Mpya wa Serikali ya awamu ya 5 juu ya kulinda na kutetea raslimali hizi kwa maslahi mapana ya Taifa letu .
Narudia tena shambulio la Lissu lenye lengo la kutugombanisha watanzania tuliozoea kuishi kwa amani na udugu.
Tuwe watulivu watanzania , tusikubali kuingia katika mitego ya mabepari na wanyonyaji.

MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MBARIKI MAGUFULI NA MUNGU MPONYE LISSU KWA HARAKA AREJEE NYUMBA SALAMA SALMIN.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mko wengi sana humu JF . . , mmetumwa kuja kupooza na kupotezea ukweli . .
Nyie ndio ajira nyingi mpya kabisa zilizotolewa na baba yenu ili kufanya kazi ya shetani . .

Tunawatambua kwa maneno yenu . . , na matendo yenu yamewatangulia mbele kama tai . . , kizazi cha nyoka . . !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kwl hyo unaemsifia ana nia nzuri na taifa kwnn asitumie mda mwingi kuwaza kupambana kiuchumi kuliko kutumia mda mwingi kuwanyima political space wnasiasa wenzke, anataka asikike yye tyu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kujali itikadi za vyama,bila kuathiri maslahi ya MTU mmoja mmoja HUU UZI YAFAA UWEKWE KWENYE HANSADI NA INGEWEZEKANE UZI HUU NDIYO UNGEKUWA HOTUBA YA MWEZI YA MHESHIMIWA RAIS

HUU UZI NI KAMA NASIKILIZA HOTUBA ZA BABA WA TAIFA MWL NYERERE
 
Umeanza vzr lkn ukamalizia kama **** flan hv....
Wewe ni nan kupinga kauli ya mkuu wa nchi!!??
Pogba alishasema kwny coccus ya wabunge wa chama chake "ni marufuku kushirikiana na wapinzan" hii ilimaanisha kama taifa hatuko pamoja na kama kutatokea utengano kat yetu kama bado haujatokea tusihangaike kutafuta mchawi sijui wazungu mara vita ya kiuchumi na blahblah nyingne mchawi wetu tunaye kat yetu
Duu! Umetudharau kama watoto wadogo vile!
RISASI ZA LISSU NA MAJASUSI WA URUSI NCHINI MONTENEGRO.

Na
Augustino Chiwinga

Usiku wa tarehe 16 October 2016 katika Jiji la Podgorica nchini Montenegro kulitokea jaribo la kimapinduzi ambalo pia lililenga kumuua Waziri mkuu wa wakati huo aitwaye Milo Dukanovic.

Kundi la washambuliaj waliojihami kwa silaha kali za kisasa na za kivita walivamia jengo la Bunge la nchi hiyo kwa nia ya kumuua Waziri mkuu ili kusababisha ghasia na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.

Ikumbukwe ya kwamba siku ya kesho yake yaani tarehe 17 October Serbia ilikua ifanye uchaguzi wake mkuu hivyo washambuliaji walijua kutokana hali ya mambo ilivyokua ni wazi baada ya kumuua Waziri mkuu huyo nchi isingekalika ,pangezuka machafuko ambaye yangepelekea kufanyika mapinduzi ya kijeshi nchin humo.

Lakini kwa bahati nzuri mpango huo uligundulika mapema na makachero na hali ya usalama ilidhibitiwa.
Baadae taarifa za kiintelijensia zikaja kutoka kwamba mipango yote hiyo iliratibiwa ns Serikali ya Urusi .

Urusi ilifanya hivyo ili kuizuia nchi hiyo ya Montenegro kujiunga na umoja wa kujihami wa NATO.
Urusi ilikua inahofia kama Montenegro ingeanikiwa kujiunga na umoja huo na kuwa mwanachama wa 29 wa NATO,basi ingepoteza udhibiti wake katika Bahati ya Adriatic, pia ingeipungizia nguvu na ushawishi katia nchi za Balkans kama vile Serbia.

Hivyo basi Serikali ya Urusi ikawatuma majasusi wake wawili mahiri kabisa Eduard Shishamkov pamoja na Vladimir Popov kwenda mpaka nchini Montenegro kupanga njama za kumuua Waziri mkuu wa Montenegro hali ambayo ingezua taharuki na machafuko ambayo yangepekekea Serikali kupinduliwa na mpango wa Montenegro kujiunga na NATO ungeishia hapo.

Nimeanza story hiyo ili kuwaeleza watanzania kwamba yanapotokea matukio kama yaliyomtokeaTundu haifai kulipuka n kuanza kunyoosheana vidole.
Inahitaji utulivu na kutafakari kwa kina bila ya mihemko au mizuka.

Tukae tukijua kwamba zamani enzi za ukoloni wazungu walitumia mbinu mbalimbali za kututawala na kutuibia mali zetu kama "Divide and Rule."

Lakini sasa hivi wamebadilisha wamekuja na mbinu mpya iitwayo "make them fight and plunder their wealth."
Nani asiyejua kilichotokea Angola ,au kinachotokea Congo.?

Mzungu katia fitna wakapigana wenyewe kwa wenyewe kisha yeye akaanza kukomba madini, mafuta na mali nyinginezo.
Naona kuna kila hali ya kututaka kutufarakanisha watanzania ili waweze kuiba kirahisi mali zetu kirahisi.
Vita ya kiuchumi aliyoianza Mh .Rais Magufuli imezikasirisha nchi za mabepari waliozoea kutuibia kupitia mikata mibovu waliyoingia kwa hila na baadhi ya wenzetu wasiokuwa wazalendo.

Sasa wamekuja na mkakati Mpya wa kutuchonganisha.Shime watanzania tushikamane tuwe kitu kimoja ili zile fitna walizozifanya Libya, Iraq na nchi nyinginezo zisifanikiwe.
Tukikubali kuzifuata fitna zao basi tujue tumekwisha.

Wazungu wanahitaji mafuta yetu gesi yetu Almasi yetu Tanzanite zetu na dhahabu zetu.Watatumia kila mbinu ili wazipate kirahisi , bila shaka wametishika na mwelekeo Mpya wa Serikali ya awamu ya 5 juu ya kulinda na kutetea raslimali hizi kwa maslahi mapana ya Taifa letu .
Narudia tena shambulio la Lissu lenye lengo la kutugombanisha watanzania tuliozoea kuishi kwa amani na udugu.
Tuwe watulivu watanzania , tusikubali kuingia katika mitego ya mabepari na wanyonyaji.

MUNGU IBARIKI TANZANIA , MUNGU MBARIKI MAGUFULI NA MUNGU MPONYE LISSU KWA HARAKA AREJEE NYUMBA SALAMA SALMIN.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu walishamtumia sana Lissu. Wanaweza kabisa kumuua kwa sababu wanajua ni hot target. Mh. Nape na yeye unaweza kuta aliandaa ili ionekane serikali inahusika. Usiwe mjinga mjinga
Na wewe usiwe mjinga/usitufanye wajinga, inaweza kuwa ni hiyo sirikali yako imeandaa baada ya kusoma mpenyo wa uwezekano wa kutenda hilo tukio na kuwasakizia wa nje.
eti Nape aliandaa, kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Nape alilijua hili litatokea......
 
Ili kumwelewa mwandishi, inahitajika akili ifanye kazi co kukurupuka!
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Bahati mbaya watu huhisi kuwa mbaya wao anapowajia,huja kama yesu atakavokuja
 
Kwa mujibu wa magufuli nikwamba mtu akiwa tofauti na usanii wake ni msaliti katika vita yake yakisanii ya uchumi.


So Lissu ni msaliti.

na kwamujibu wa magufuli msaliti katika vita adhabu yake ni kifo.


Kwahiyo bado nyie wahuni wa lumumba mnatafuta mchawi? Shame
 
Muanzisha uzi umeonyesha namna gani ulivyo kichwa maji. Hakuna suala la wazungu hapa. Mambo yapo vivid. Hatua za kiajabuajabu za serikali za kuwa-blast wapinzani ziko dhahiri. Na tafsiri yake haihitaji shule kubwa.
 
Back
Top Bottom