Risasi zarindima katika eneo la karibu alipokuwepo Donald Trump, Maafisa usalama wanasema yupo salama

Risasi zarindima katika eneo la karibu alipokuwepo Donald Trump, Maafisa usalama wanasema yupo salama

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Mtu mmoja aliyekuwa na silaha amesababisha maafisa wa usalama wa Donald Trump kupiga risasi

Hata hivo walinzi maalumu wa Trump walijibizana Kwa Risasi, haijafahamika mpaka Sasa ikiwa Wamemuua Mdunguaji huyo!!.

Soma Pia:
=====

Steven Cheung, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampeni ya Donald Trump, alisema: "Rais Trump yuko salama baada ya risasi kurushwa karibu naye. Hakuna maelezo zaidi kwa sasa."

Pia, Huduma ya Siri ya Marekani imethibitisha hadharani kuwa Donald Trump yuko salama.

Gazeti la New York Post na ABC News vinaripoti kuwa Rais wa zamani alikuwa katika hoteli hiyo wakati watu wawili walipokuwa wakibadilishana risasi karibu. Vyombo hivyo vinasema kuwa Trump hakuwa mlengwa wa shambulio hilo, vikimnukuu afisa wa usalama ambaye hakutajwa jina.

 
Yule sniper ametumwa sio bure aisee.
Wamemuandama Sana mzee watu sijui Kama atatoboa coz amekoswa kwa Mara ya pili sasa
 
Damn! They want him dead so bad!

Ila hili ni doa kubwa sana kwa Secret Service.

Hawa watu wanawezaje kufika karibu hivyo na Rais mstaafu ambaye ni target kubwa?

Au kuna hujuma za makusudi zinazofanywa ili kutoa mianya ya kumdungua?
 
Silaha aina ya AK-47 mtutu wake ukionekana umechomoza katika kichaka cha uwanja wa golf ulistukiwa na mmoja wa walinzi wa Trump ambaye alikuwa akisongea mbele tundu moja la golf kabla Trump hajamaliza lingine ... ktk uwanja wa golf wa International Golf Course in West Palm Beach Florida ..

1726436769341.png

Picha maktaba: picha ya siku zilizopita ikimuonesha Donald Trump akicheza mchezo wa golf
 
Habari hii jaribu lingine dhidi ya Donald Trump inatupa funzo Tanzania kuwa watu wasiojulikana hawawezi kuacha nia yao ovu ya,kuteka, kupoteza pia kuua na hasa ikiwa hatutapaza sauti tarehe 23 September 2024 kwa maandamano Dar es Salaam kuipa mbinyo serikali ya Tanzania ifanye kazi ya kulinda usalama wa raia.
 
Back
Top Bottom