Mara ya kwanza ulisema ni democrats kwa vile anawashinda kjwenye uchaguzi; baada ya uchunguzi ikaja fahamika kuwa yule kijana aliyemtupia Trump gololi alikuwa ni republican damu damu. Sasa je leo bado unasema huyo pia ni democrat kabla hata uchunguzi haujafanyika?Damn! They want him dead so bad!
Ila hili ni doa kubwa sana kwa Secret Service.
Hawa watu wanawezaje kufika karibu hivyo na Rais mstaafu ambaye ni target kubwa?
Au kuna hujuma za makusudi zinazofanywa ili kutoa mianya ya kumdungua?
Relax old man! Ukisoma kwa utulivu bila mihemuko, utaelewa na kuona nilichokiabdika.Mara ya kwanza ulisema ni democrats kwa vile anawashinda kjwenye uchaguzi; baada ya uchunguzi ikaja fahamika kuwa yule kijana aliyemtupia Trump gololi alikuwa ni republican damu damu. Sasa je leo bado unasema huyo pia ni democrat kabla hata uchunguzi haujafanyika?
andiko lako linaeleweka vizuri sanaRelax old man! Ukisoma kwa utulivu bila mihemuko, utaelewa na kuona nilichokiabdika.
Hakuna sehemu yoyote niliposema kuwa huyu ni Democrat.
Kama kuna sehemu nimesema/ nimeandika hivyo, onyesha tafadhali.
You are too old kusoma vitu na kuandika kwa mihemuko.
Angeahirisha tu ugombeaSilaha aina ya AK-47 mtutu wake ukionekana umechomoza katika kichaka cha uwanja wa golf ulistukiwa na mmoja wa walinzi wa Trump ambaye alikuwa akisongea mbele tundu moja la golf kabla Trump hajamaliza lingine ... ktk uwanja wa golf wa International Golf Course in West Palm Beach Florida ..
View attachment 3096927
Picha maktaba: picha ya siku zilizopita ikimuonesha Donald Trump akicheza mchezo wa golf
Hahahaa 🤣🤣.andiko lako linaeleweka vizuri sana
Cha ajabu waliotufundisha Demokrasia hatujasikia wakija na kampeni ya kusema "Biden Must go", ila sisi wanafunzi vilaza wa demokrasia tumekurupuka na viingereza vyetu vya 'kugugo', na kuropoka kuwa "Samia must go".Mtu mmoja aliyekuwa na silaha amesababisha maafisa wa usalama wa Donald Trump kupiga risasi
Hata hivo walinzi maalumu wa Trump walijibizana Kwa Risasi, haijafahamika mpaka Sasa ikiwa Wamemuua Mdunguaji huyo!!.
Soma Pia:
=====
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
- Iran yakanusha kuhusika na jaribio la Mauaji ya Donald Trump
Steven Cheung, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampeni ya Donald Trump, alisema: "Rais Trump yuko salama baada ya risasi kurushwa karibu naye. Hakuna maelezo zaidi kwa sasa."
Pia, Huduma ya Siri ya Marekani imethibitisha hadharani kuwa Donald Trump yuko salama.
Gazeti la New York Post na ABC News vinaripoti kuwa Rais wa zamani alikuwa katika hoteli hiyo wakati watu wawili walipokuwa wakibadilishana risasi karibu. Vyombo hivyo vinasema kuwa Trump hakuwa mlengwa wa shambulio hilo, vikimnukuu afisa wa usalama ambaye hakutajwa jina.
Huyu mtuhumiwa alimpigia kura Trump 2016!Mara ya kwanza ulisema ni democrats kwa vile anawashinda kjwenye uchaguzi; baada ya uchunguzi ikaja fahamika kuwa yule kijana aliyemtupia Trump gololi alikuwa ni republican damu damu. Sasa je leo bado unasema huyo pia ni democrat kabla hata uchunguzi haujafanyika?
Kwa sababu wote wamejulikana, wamekamatwa au kuuwawa.Cha ajabu waliotufundisha Demokrasia hatujasikia wakija na kampeni ya kusema "Biden Must go", ila sisi wanafunzi vilaza wa demokrasia tumekurupuka na viingereza vyetu vya 'kugugo', na kuropoka kuwa "Samia must go".
joto la uchaguziMtu mmoja aliyekuwa na silaha amesababisha maafisa wa usalama wa Donald Trump kupiga risasi
Hata hivo walinzi maalumu wa Trump walijibizana Kwa Risasi, haijafahamika mpaka Sasa ikiwa Wamemuua Mdunguaji huyo!!.
Soma Pia:
=====
- Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara
- Iran yakanusha kuhusika na jaribio la Mauaji ya Donald Trump
Steven Cheung, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampeni ya Donald Trump, alisema: "Rais Trump yuko salama baada ya risasi kurushwa karibu naye. Hakuna maelezo zaidi kwa sasa."
Pia, Huduma ya Siri ya Marekani imethibitisha hadharani kuwa Donald Trump yuko salama.
Gazeti la New York Post na ABC News vinaripoti kuwa Rais wa zamani alikuwa katika hoteli hiyo wakati watu wawili walipokuwa wakibadilishana risasi karibu. Vyombo hivyo vinasema kuwa Trump hakuwa mlengwa wa shambulio hilo, vikimnukuu afisa wa usalama ambaye hakutajwa jina.