Risasi zatembea, pesa zabebwa!

Kukua na kuendelea kwa ujambazi Tanzania hata baada ya ahadi za "Maisha Bora kwa kila Mtanzania" kunaonyesha dhahiri jinsi serikali hii ya chama cha mafisi-maji(CCM) ilivyoshindwa kutekeleza ahadi zake na matokeo yake damu za watanzania zinanendelea kumwagika.
 
Duh poleni sana...huu ni mchongo tu.Vp hujakumbuka hata kuchukua picha mkuu zitusaidie kufanya upembuzi yakinifu?
 
Duh, burungutu jingine limebebwa na wahuni waliokuwa wanatembea maeneo haya. Ni kiwanda cha samaki cha Alpha kwenye kona ya Jet Club kama unaenda mjini tokea Uwanja wa ndege.
 
Duh poleni sana...huu ni mchongo tu.Vp hujakumbuka hata kuchukua picha mkuu zitusaidie kufanya upembuzi yakinifu?
Nilitaka kuchukua picha muda si mrefu hapo afande mmoja akaniomba nisifanye hivyo kama sina kitambulisho kama mwandishi wa habari.

Kimeo...
 
Wanaofanya biashara kubwakubwa wageuze namna ya ulipaji na ulipiaji wa huduma/bidhaa wanazotoa. Tatizo lao wanawaza kila kukicha namna kukwepa kodi za Nchi hii.
 
or the more safer way ni kuto deal na cash unless if its petty cash, hasa kama ni biashara inayoingiza pesa mingi, why nt use user means za payment.
 
or the more safer way ni kuto deal na cash unless if its petty cash, hasa kama ni biashara inayoingiza pesa mingi, why nt use user means za payment.
Kuna jamaa mmoja (mhindi pia) namfahamu huwa anabeba si pungufu ya 100M kwenye viroba kupeleka Benki. Ningekuwa mtu wa michongo basi ningekuwa tajiri... he he he he! Haya mambo usiombee uone mwenyewe jamaa wakiyafanya. Unaogopa hata hela kabisa
 
or the more safer way ni kuto deal na cash unless if its petty cash, hasa kama ni biashara inayoingiza pesa mingi, why nt use user means za payment.

wanapenda ujiko na kutetemekewa kwenye mabank.
 
Kwisha habri.Mahita amerudi tena nini?
 
Duh, burungutu jingine limebebwa na wahuni waliokuwa wanatembea maeneo haya. Ni kiwanda cha samaki cha Alpha kwenye kona ya Jet Club kama unaenda mjini tokea Uwanja wa ndege.
yaani, hasa polisi wanafanya juhudi gani sa hivi za kufatilizia hao wahuni waliokimbia na hiyo mifwedha, natamani nitoke hata nje nikadodose umbeya lakina naogopa kuotesha kibarua changu magugu.
 
wnapenda ujiko na kutetemekewa kwenye mabank.
na kweli, kwenye bulk teller utakuta ni wahindi tu ndo wamejazana, na ukwepaji kodi nao sijui unachangia,ila siyo mwake kabisa kama ujambazi ndo unarudi kwa kasi, hasa kwa wale wanaofanya kazi zinazohusiana na 'ankara' itabidi kujizatiti.
 
Kuna kiwanda cha samaki eneo hili. Dereva alikuwa ni mhindi ametoka kiwandani kuelekea barabarani na amevamiwa baada ya kutoka kwenye geti la kiwanda hicho.

Alikuwa anavuja damu sana na amekimbizwa hospitali haraka

Da, yaani hapo sipati picha kama walinzi wa Kiwanda hicho ni wabongo.......
 
na kweli, kwenye bulk teller utakuta ni wahindi tu ndo wamejazana, na ukwepaji kodi nao sijui unachangia,ila siyo mwake kabisa kama ujambazi ndo unarudi kwa kasi, hasa kwa wale wanaofanya kazi zinazohusiana na 'ankara' itabidi kujizatiti.

Majambazi wakiiba wanaishia kujirusha, pesa inarudi kwa wananchi. Haya majambazi, msiende kuiba bank na kwa watu innocent, waibieni mafisadi hao hao.
 
yaani, hasa polisi wanafanya juhudi gani sa hivi za kufatilizia hao wahuni waliokimbia na hiyo mifwedha, natamani nitoke hata nje nikadodose umbeya lakina naogopa kuotesha kibarua changu magugu.

Polisi wa Tanzania God knows niwaoga.Wanatembea na magobole ilhali wezi wana AK47 za mrusi unategemea watafanya nini la zaidi.
 
Maskini JK, hili la ujambazi alionekana kama ameweza kidogo! Jamaa wamemjua kuwa maneno aliyoanza nayo yalikuwa maneno matupo, kumbe hana lolote!!!! Maskini Tanzania, sasa kipi ni afadhali! Kila ukigusa kumeoza
 
Hapo si ajabu gari la patrol la eneo hilo lilikuwa linajua mchongo🙂
 

Wewe wasema maburungutu ya fedha wao na chenge "vijisenti" askari wa nini hapo. lakini mdharau mwiba guu ota tende, na kama ni mhindi kaaibiwa hapo mie poa tu kwani tuliwahi toka na Mtikila jangwani na tuliwafanyizia kidogo polisi wakatushughulikia vilivyo ikawa pona yao
 
Duh, Jamaa walinyamaza ili kutunga mbinu mpya. Sasa wameibuka tena, hivi ujambazi ni professional au unasababishwa na uvivu au tamaa ya kupata bila kuvuja jasho?

It could be a combination of all the three!Kuna watu wizi/ujambazi ni kazi kabisaaaa!
 
Kama wanaibiwa ni wahindi mm naona ni fair tu kwani wametunyonya vya kutosha na wana hela sana wanashindwa hata kujenga hapa nchini pesa zote wanakimbizia kwao.
Bora waibiwe tu wahindi kodi hawalipi wananyanyasa sana wazawa makazini humo n.k
 
Wale wote mnaowambea mabaya wahindi..mshindwe na mlegee kabisa.. kama sio hawa wahindi watanzania wengi wangekuwa wanaogea na kufuliza nguo majani ya mpapai. Kama serikali yetu imeshindwa kuwabana kwenye kodi ni makosa yetu wenyewe. We know what to do...

Pole w0rM kwa kushuhudia...natoa pole kwa huyo mhindi kwa yaliyomkuta..natumai atapona mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…