Rise and rise of Kiswahili as South Africa embraces national language

Rise and rise of Kiswahili as South Africa embraces national language

Sinister

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
1,531
Reaction score
1,577
Kiswahili unifies East Africa’s over 140 million people with ethnic and linguistic diversity.


IN SUMMARY
And since most Kiswahili words are borrowed from Bantu, it is easier for most of the 1.2 billion Africans to learn it.
Kiswahili is taught at leading universities globally, with various scholars and researchers picking up an interest in it.


Starting next year, South Africa will offer Kiswahili as an optional language in schools, starting with trials in 90 schools.

It will be the first African language from outside South Africa to be offered in schools in a country where French, German and Mandarin are already optional subjects.

The Southern African Development Community (SADC) has adopted Kiswahili as its fourth official language of communication after English, Portuguese and French.

First adopted as a language for oral communication before written official communication, it becomes the first indigenous language to be used by the regional bloc as an official one.

Kiswahili, Africa’s most spoken language with an estimated 100 million users, is finally venturing out of its East African home.

THE CUTTING EDGE - DECEMBER 17, 2019
Take the case of Sho Madjozi (real name Maya Wengerif), the 27-year-old South African rapper who has taken the Rainbow Nation by storm through her songs, primarily in Kiswahili.

MUSIC'S INFLUENCE

"John Cena", easily one of the most played songs on local radio and at social places, has been viewed 7.6 million times and "Huku" garnered 6.3 million views.

Now the feat will earn her a first Best New International Act Award in the B.E.T Awards, the first female and only the fourth singer in South Africa to win it.

Madjozi, who schooled in Dar es Salaam, where her father worked, has mainstreamed Kiswahili in the music style “gqom”, born in Durban.

Of course there was the legendary Miriam Makeba, who sang in Kiswahili hits such as "Hapo Zamani" and "Malaika".

Tanzania and Kenya made Kiswahili compulsory in secondary schools in 1986 and an examinable subject 30 years ago.

And sizeable populations in Rwanda, Burundi, the Democratic Republic of Congo and small pockets in Mozambique, Somalia, the Comoros Islands, northern Zambia and Malawi speak it.

In February 2017, Rwanda’s National Assembly made Kiswahili one of the country’s official languages, joining Kinyarwanda, French and English.

OFFICIAL LANGUAGE

In September, Uganda’s Cabinet approved the formation of the Uganda National Kiswahili Council, which, together with the East African Kiswahili Commission, an organ of the East African Community (EAC), is to help make Kiswahili the second official language after English. The Constitution designates it as such.

A national and official language in Kenya and Tanzania, Kiswahili is also an official language for the EAC that also included Uganda, Burundi, Rwanda and South Sudan. DRC has applied to join.

In 2004, Kiswahili became one of the official languages of the African Union.

Amid efforts to have an open-border continent, the prospect of Kiswahili becoming the language of Africa is one we should embrace and work for.

And since most Kiswahili words are borrowed from Bantu, the most widespread language group in Africa, it is easier for most of the 1.2 billion Africans to learn it.

Most South African languages share basic words, grammatical and sentence structure with Kiswahili.

GLOBALISATION

Kiswahili is taught at leading universities globally, with various scholars and researchers picking up an interest in it.

Leading world radio stations — the BBC, VoA, Radio China International and Deutsche Welle Radio — have dedicated segments and programmes in Kiswahili.

How Kiswahili unifies East Africa’s over 140 million people with ethnic and linguistic diversity cannot be overstated.

Kenya has almost 50 languages, Tanzania 114 and Uganda 43. Africa, the second-most diverse continent after Asia in terms of languages, has over 2,000.

Even then, it took the AU four decades to permit the use of an African language in its meetings. And the introduction of Kiswahili was messy and disorganised.

In July 2004, AU chairman Joaquim Chissano caught everyone off-guard with a farewell speech in Kiswahili! So go on, say “Jambo” to someone. Kiswahili kitukuzwe!

Mr Lang’at, a political reporter at the Daily Nation, is a KAS scholar at the University of the Witwatersrand, South Africa. patrickmwandishi@gmail.com
 
Lakini Kenya Kiswahili kinaonekana ni lugha ya watu ambao hawakusoma. Kiswahili ndio lugha ya taifa la Kenya, lakini hotuba na shughuli za serikali ndani ya Kenya, kama vile MAHAKAMA, Bunge na risala zote za kitaifa kwa sehemu kubwa hutolewa kwa kiingereza'. That is the definition of a confused country ".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini Kenya Kiswahili kinaonekana ni lugha ya watu ambao hawakusoma. Kiswahili ndio lugha ya taifa la Kenya, lakini hotuba na shughuli za serikali ndani ya Kenya, kama vile MAHAKAMA, Bunge na risala zote za kitaifa kwa sehemu kubwa hutolewa kwa kiingereza'. That is the definition of a confused country ".

Sent using Jamii Forums mobile app
An official language is a language that is used for official/formal purposes in a country. Government documents, legal proceedings, police reports, business contracts, that sort of thing. A national language is a language that is symbolic of that country, usually for historical, cultural, and ethnic reasons.
 
An official language is a language that is used for official/formal purposes in a country. Government documents, legal proceedings, police reports, business contracts, that sort of thing. A national language is a language that is symbolic of that country, usually for historical, cultural, and ethnic reasons.
Taja nchi yoyote ile duniani ambayo hitumia lugha tofauti katika shughuli za kitaifa zaidi ya lugha yake ya taifa, nchi nyingi duniani, English ni "official language", lakini katika shughuli zao zote za kitaifa wanatumia lugha za mataifa yao, japo kiingereza kinafahamika kwa zaidi ya 80% ya raia wao.

Wakenya wanaofahamu kiingereza hawazidi 45%, wakati wakenya wanaojua kiswahili ni zaidi ya 70%, jambo la kusikikitisha shughuli za serikali zinatumia lugha inayieleweka na watu wachache, licha ya kuwa kiingereza sio lugha ya taifa. " Slavery mentality "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja nchi yoyote ile duniani ambayo hitumia lugha tofauti katika shughuli za kitaifa zaidi ya lugha yake ya taifa, nchi nyingi duniani, English ni "official language", lakini katika shughuli zao zote za kitaifa wanatumia lugha za mataifa yao, japo kiingereza kinafahamika kwa zaidi ya 80% ya raia wao.

Wakenya wanaofahamu kiingereza hawazidi 45%, wakati wakenya wanaojua kiswahili ni zaidi ya 70%, jambo la kusikikitisha shughuli za serikali zinatumia lugha inayieleweka na watu wachache, licha ya kuwa kiingereza sio lugha ya taifa. " Slavery mentality "

Sent using Jamii Forums mobile app
True...
Niliwahi muuliza MK254 ni kwanini viongozi wakenya hasa wanasiasa wakati wa kuomba kura wataumia Kiswahili but wakisha chaguliwa wanaswitch to English..
Alinijibu eti wakenya wote wanajua Kingereza na kiswahili..nilicheka na kumwacha na ujinga wake..
 
True...
Niliwahi muuliza MK254 ni kwanini viongozi wakenya hasa wanasiasa wakati wa kuomba kura wataumia Kiswahili but wakisha chaguliwa wanaswitch to English..
Alinijibu eti wakenya wote wanajua Kingereza na kiswahili..nilicheka na kumwacha na ujinga wake..
Kwao ukizungumza kiingereza ndio unaonekana umestaarabika, umesoma na umeelimika, kiswahili ni kwa ajili ya second class citizens Kenya. Wakenya ni watu wa ajabu sana, hawajaendelea kabisa ktk fikra zao, bado utumwa haujaisha vichwani mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja nchi yoyote ile duniani ambayo hitumia lugha tofauti katika shughuli za kitaifa zaidi ya lugha yake ya taifa, nchi nyingi duniani, English ni "official language", lakini katika shughuli zao zote za kitaifa wanatumia lugha za mataifa yao, japo kiingereza kinafahamika kwa zaidi ya 80% ya raia wao.

Wakenya wanaofahamu kiingereza hawazidi 45%, wakati wakenya wanaojua kiswahili ni zaidi ya 70%, jambo la kusikikitisha shughuli za serikali zinatumia lugha inayieleweka na watu wachache, licha ya kuwa kiingereza sio lugha ya taifa. " Slavery mentality "

Sent using Jamii Forums mobile app
Where did you get your 45% and 70% from? Mbona usiweke hapa tuelimike pia? Ama ni zile data za kijiweni?

Wewe ni mwenyeji wa SADC na hujui Botswana
Setswana is the (national language with minor differences in dialects), while English is the official business language?
 
Kenya wanatakiwa waje tz wajifunze kiswahili maana ukiwasikiliza wengi wao hawaongei kiswahili sanifu inavyotakikana!
 
Where did you get your 45% and 70% from? Mbona usiweke hapa tuelimike pia? Ama ni zile data za kijiweni?

Wewe ni mwenyeji wa SADC na hujui Botswana
Setswana is the (national language with minor differences in dialects), while English is the official business language?
Tafadhali tumia Google utazipata hizo data za 45% vs 70%.

Kuhusu Botswana, Zambia, Mozambique, Zimbabwe, Angola na nchi zingine nyingi, kutokana na kwamba hawana lugha ambayo ni "Neutral", yaani lugha isiyokuwa ya kabila moja, nchi hizo ziliamua kutumia lugha za watawala wao ili kuepusha mgawanyiko kama ilivyo Ethiopia, hata huko Botswana, bado hawajakubaliana kimsingi kwamba Setswana kuwa ni lugha ya taifa, kabila zingine zinapinga, sasa hivi kuna mgawanyiko mkubwa sana Botswana, kuna uwezekano fujo zinazoikumba Ethiopia zikaikumba na Botswana pia.

Kenya hamna sababu yoyote ya kuendelea kutumia Kiingereza badala ya Kiswahili, kwasababu Kiingereza ni mpaka mkenya aende shule, kwa jamii za wafugaji ambao wengi hawapati elimu, Kiswahili wanakifahamu zaidi ya Kiingereza, ila kwasababu sio muhimu ukilinganisha na watu wanaokaa mijini ambao wengi wanebahatika kwenda shule, GoK inawatenga sana wananchi wa vijijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafadhali tumia Google utazipata hizo data za 45% vs 70%.

Kuhusu Botswana, Zambia, Mozambique, Zimbabwe, Angola na nchi zingine nyingi, kutokana na kwamba hawana lugha ambayo ni "Neutral", yaani lugha isiyokuwa ya kabila moja, nchi hizo ziliamua kutumia lugha za watawala wao ili kuepusha mgawanyiko kama ilivyo Ethiopia, hata huko Botswana, bado hawajakubaliana kimsingi kwamba Setswana kuwa ni lugha ya taifa, kabila zingine zinapinga, sasa hivi kuna mgawanyiko mkubwa sana Botswana, kuna uwezekano fujo zinazoikumba Ethiopia zikaikumba na Botswana pia.

Kenya hamna sababu yoyote ya kuendelea kutumia Kiingereza badala ya Kiswahili, kwasababu Kiingereza ni mpaka mkenya aende shule, kwa jamii za wafugaji ambao wengi hawapati elimu, Kiswahili wanakifahamu zaidi ya Kiingereza, ila kwasababu sio muhimu ukilinganisha na watu wanaokaa mijini ambao wengi wanebahatika kwenda shule, GoK inawatenga sana wananchi wa vijijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Languages of the World :: African Languages by Countries pitia hii link itakupa nchi za Afrika pamoja na Official/National and other spoken languages. Utaona sio Kenya tu hatugandi kwa lugha moja. Kwa Mfano Burundi Official Language ni Kifaransa na the National Language ni Kirundi!

Sasa nipe link ya 45% & 70% ulikotoa kwa vile nimetafta nimekosa! Tena nyingine ambapo Botswana hawakubaliani Setstwana kuwa National language.
 
Kenyans apart from kudharau kiswahili, they are introducing another lingual, sheng, just to cause more confusion, good example of a Babylon.
Fortunately other countries are embracing a real Swahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom